Recent content by clixus

  1. clixus

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    ASANTE SANA [emoji120] wengine hatuna vipaji vya uandishi mzuri.
  2. clixus

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hahaha [emoji3] nimecheka kinoma ndo nitolee hiyo hairudi tena MKUU.
  3. clixus

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Habari zenu wakuu, huu uzi kuingia Mara ya mwisho x-mas na niliwahi ahidi huko nyuma na visa vyangu vitatu acha nianze na kimoja Cha rafiki na mteja wa Dada, Dada yangu ana biashara zake za urembo somewhere sasa kuna Dem mmoja ni mteja wake mara kwa mara aliwahi niona ofisini kwa sister na Dem...
  4. clixus

    Ushauri: Shemeji yenu alinasa ujumbe na kugundua nimechepuka, nataka kurudisha mahusiano mahala pake

    Polee Sana mkuu wanakuja kutoa neno si unaona sahivi saa kumi wajuba wamelala bado Ila next time uandike vizuri taratibu muda unao mzuri Kama huu watu bado wamelala maana paragraph za juu umeruka ruka na kuacha maneno haielewek
  5. clixus

    Nyimbo zilizobamba Afrika 2022

    Omah lay soso
  6. clixus

    Ulianzaje kukaa gheto?

    The same story to my side but that girl ni chizi she took everything, we need tu hustle ourselves, madem upuuzi tu.
  7. clixus

    Kaibiwa na Dada poa sasa anaanza upya

    Huyu mzee hakai Kigambon kwel? Kuna mzee mmoja namuhisi ana hizi characters.
  8. clixus

    Foundation programme

    Hapana Kuna intake 3 au 4 hivi
  9. clixus

    Migos kundi bora la hip-hop

    RIP takeoff [emoji174][emoji2731]
  10. clixus

    Maisha yanaenda kasi sana

    RIP takeoff [emoji174] [emoji2731] RIP PACHA FATHER [emoji174]
  11. clixus

    Nimeachana na mke wangu

    Maamuzi yako ni sahihi wewe ni Kama mimi sipendi vita na mwanamke kabisa ni kumuacha na kuangalia maisha mengine unaweza shikwa hasira ukafanya kitu kibaya sana
  12. clixus

    Je, unakumbuka nini kutoka kwa baba yako?

    My father alikuwa more than a friend, ENDELEA kupumzka salama mzee wangu, miez saba bila uwepo wako tunakosa mengi sana.
  13. clixus

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Threads za nyuma nilisema nina visa vinne, nilikula rafiki wa dada yang, kuna demu mmoja nilimsaidia admission chuo nilimla kimasihara kupitia hii hii jf, nyengine demu alieleta vyeti vya kazi magetoni ili nimpelekee ofisini nilimla kimasihara na ya mwisho ni demu niliyemsaidia kufungua account...
Back
Top Bottom