Af mtu kama alikuwa private sector kwa miaka kama miwili then akapata kazi serikaln so ile michango yake ya nssf inahamia pssf au ndo basi tena ishapotea?
Daah huu uzi noma sana last time natoa kimasihara yangu miaka 2 imepita ila uzi bado wa moto na kimasikhara za wana zinazidi kutokea na nimepata kimasikhara nyingine nimeukumbuka uzi
Hii ya sasa hivi codes sijui zitamfikia muhusika maana dunia yeye kijij siku hizi
Habari zenu wakuu, huu uzi kuingia Mara ya mwisho x-mas na niliwahi ahidi huko nyuma na visa vyangu vitatu acha nianze na kimoja Cha rafiki na mteja wa Dada,
Dada yangu ana biashara zake za urembo somewhere sasa kuna Dem mmoja ni mteja wake mara kwa mara aliwahi niona ofisini kwa sister na Dem...
Polee Sana mkuu wanakuja kutoa neno si unaona sahivi saa kumi wajuba wamelala bado
Ila next time uandike vizuri taratibu muda unao mzuri Kama huu watu bado wamelala maana paragraph za juu umeruka ruka na kuacha maneno haielewek
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.