Point yako haswa ni nini, au ndio ukuu wa wilaya unautafuta? Siwezi amini kama wew ni real Tanzanian, nyamaza na ukome kabisa maana hujui watoto wa maskini wanvyoteseka udom
Me sielwei hayo maneno yote ya nn kama tayar rais kashatangazwa, ni suala la kuangalia mbele ktk maendeleo. Huo ndio unafiki kama huwa hujui, na unafki wako peleka hukoooo kwenye majukwaa mengine, si hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.