UFAFANUZI MUHIMU KUHUSU USAJILI WA ACACIA
Kwa kutumia kigezo cha usajili, Tanzania tunazo aina kuu mbili za kampuni. Kampuni za ndani(Local companies) na kampuni za kigeni ( foreign companies).
Kampuni za ndani ni zile zote zilizoanzishwa hapa nchini na kusajiliwa hapa nchini. Hata kama...
UFAFANUZI KUHUSU MUHIMU KUHUSU USAJILI WA ACCACIA
Kwa kutumia kigezo cha usajili, Tanzania tunazo aina kuu mbili za kampuni. Kampuni za ndani(Local companies) na kampuni za kigeni ( foreign companies).
Kampuni za ndani ni zile zote zilizoanzishwa hapa nchini na kusajiliwa hapa nchini. Hata...
Hata mimi alivyoaanza kujibu kwa kuuliza elimu ya mtu ameniudhi, Sijui yeye ni darasa la ngapi angalia hata kiswahili alichoandika kwenye red.
Umesoma hadi darasa la ngapi? kwa faida yako - Bank huweka dhamana BOT(BANK KUU YA TANZANIA) - Hawaruhusiwi kua na hela inayozidi kiwango hicho cha...
Hi! Filonos,
Tafadali naomba kujua hiyo mashine na mixer ya mikate naweza kupata wapi? na inauwezo kiasi gani, yaani mikate ya kawaida mingapi kwa batch moja?
Hi! Chumvichumvi, unasema "mungu kasema jisaidie nami nikusiadie", ni kitabu kipi imeandikwa hivyo? Kama ni Biblia mimi nimetafuta huo mstari sijawahi kuuona labda kama kuna Biblia tofauti na hii ya Wakristo.
Msijali wote mnaotumia kulia nafikiri kama amesha exaust hiyo orodha hapo juu, maana yake ni kwamba watu wote maarufu waliobakia wanatumia kulia, sasa utapima wapi ni wengi zaiadi, kama ni raisi ni moja kwenye kundi lao au wanasayansi wako watano maana yake waliobaki wote ni righties
Salmu kwa wan JF wote.
Jamani natafuta mashine ya kuetengezea chalks za mashuleni mfano huo hapo. Mwenye taarifa wapi naweza kupata tafadhali anijuze.
Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.