Mguu na mkono wa kushoto

Mguu na mkono wa kushoto

Ziroseventytwo

Platinum Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
9,201
Reaction score
17,163
Wandugu! Kuna ukweli wowote kuwa mtu anayetumia mguu na mkono wa kushoto kwenye michezo, wanauwezo kuliko wanaotumia mkono/mguu wa kulia? Baadhi ya wanamichezo,wanaotumia miguu/mikono ya kushoto ni pa1 na Diego Armando Maradona, nguli la Argentina,Leonel Messi,mwanasoka bora wadunia 3 times, Kun Sergio Aguerro, mpachika mabao wa Man city, Arjen Robben winga wa ukweli pale klabuni Munich. Mwone Rafael Nadal,anavyotandika tenis,anapopambana na manguli kama Djonkovic, Andy Murry na hata 16 grand slam winner Roger Federra. Je? Kuna ukweli wowote,kuwa watu wa aina hiyo wanauwezo michezoni? Ni unadhani kinasababisha hawa wawe juu kuliko watu wa miguu/mikono ya kulia?
 
Unataka tuchukue katika tasnia hizo mbili tu(Football na Tenis) halafu tukufanyie uchambuzi makini wa kisayansi ili upate uhakika zaidi kuwa wapi ni zaidi kati ya hayo makundi mawili Mguu/mkono kushoto Vs. Mguu/mkono kulia ? Au tukuweke na tasnia nyingine mzee ili ujue ukweli
 
Unataka tuchukue katika tasnia hizo mbili tu(Football na Tenis) halafu tukufanyie uchambuzi makini wa kisayansi ili upate uhakika zaidi kuwa wapi ni zaidi kati ya hayo makundi mawili Mguu/mkono kushoto Vs. Mguu/mkono kulia ? Au tukuweke na tasnia nyingine mzee ili ujue ukweli

mkuu,itakuwa vema kama utaweka makundi yote au tasnia nyingine tofauti na football na tenis. Then ukiichambua kisayansi, itakuwa safi. Ila utumi kiswahili, kiingereza, sitakupata sana!
 
mkuu,itakuwa vema kama utaweka makundi yote au tasnia nyingine tofauti na football na tenis. Then ukiichambua kisayansi, itakuwa safi. Ila utumi kiswahili, kiingereza, sitakupata sana!

Nilipost hii some months ago kwenye huu uzi https://www.jamiiforums.com/mahusia...-mpenzi-mpya-anatumia-mkono-wa-kushoto-2.html hope itasadia

Fazaa unakosea unaposema Mashoto wako karibu na shetani maana, huyo shetani mwenyewe ni Subconcious mind yako mwenyewe. Mashoto aka South Paws wengi ni smart kuliko average people hili huwezi kulikimbia mkuu.. Tafiti kibao zishafanywa nchi za wenzetu ambako hakuna ubaguzi wala upuuzi wa kuwafinya watoto kisa tu wanatumia mkono wa kushoto.. Ukicheki fasta fasta binadamu walioleta mabadiliko makubwa duniani walikuwa ni mashoto n we use their products everyday na Fazaa huwezi kukimbia inventions zao.. Mitazamo yetu ya kitamaduni na kidini tuliyorithishwa bila kuhoji na wazazi wetu isitufanye tubague wengine kwa tofauti zao zisizoepukika za kibaiolojia..

Labda nikufahamishe tu kwa uchache mashoto ninaowafahamu n they play a role in most of our lives n may be yours..

Clinton
Obama
Einstein
Jimi Hendrix
Lady Gaga
Bill Gates (amekuwezesha kutype hiyo comment hapo juu)
Mark Zuckerberg (nina uhakika unatumia product yake inayoitwa Facebook kama sio wewe hata mwanao basi)
Oprah Winfrey
Angelina Jolie
Aristotle
Mozart
Leonardo da Vinci
Freddie Mercury
Oscar De La Hoya
Isaac Newton
Osama bin Laden (huyu jamaa amekufanya kila unapotaka kusafiri uvue viatu na mkanda airport bila kupenda)
Fidel Castro
Hugo Chavez
Michelangelo
Phil Collins
Paul McCartney (The most successful musician, composer, poet from The Beatles)
Friedrich Nietzsche
Ludwig von Beethoven
Sir Isaac Newton
Mark Twain
Henry Ford
David Rockefeller
Helen Keller
Amitabh Bacchan (nani asiyemfahamu huyu jamaa)
Benjamin Franklin
Charlie Chaplin
Keanu Reeves (mambo ya Matrix Reload)
Tom Cruise
Robert De Niro
Marilyn Monroe ( kama ulikuwa na access ya movie theatres or films miaka ya late 50's n early 60's you know should know her)
Napoleon
Julius Caesar
Mahatma Gandhi
Otto von Bismarck ( unamkumbuka huyu mjomba kwenye Berlin conference)
Prince Charles
Queen Elizabeth (mzanaki alipewa mkono wa kushoto kusalimiwa akaona kadharauliwa)
David Cameron
Benjamin Netanyahu
Seal
Diego Armando Maradona
Romario
Rafael Nadal ( unacheki anavyowachakaza kwenye tennis)
manny pacquiao (one the greatest left handed boxer)
Prince Naseem Hamed
Felipe Calderon (President of Mexico)
Laura Chinchilla (mwanamama huyu rais wa costa rica)
And did you know four of the five designers of the apple macintosh computer were lefties..


Bila kuwasahau mzee mzima 50 cents, r kelly, baby face na Eminem..

Na hapa nyumbani tuna Mrisho Mpoto na Jhikoman listen to their music utaona utofauti.. Dah! nilitaka kumsahau Hasheem aka Dogo Mwendawazimu (kikosi cha mizinga miaka ileee)

Labda hongera kwa Big Bro kwa kumpata mwenza lefty. I have been hunting for one for years sikufanikiwa they are so rare to find. Siku ukimchoka unaweza kuniPM.. *** Jitahidi tu kuwa adventurous cause they tend kuLoose interest ya vitu mapema..

Goodluck..
 
innawezekana wadau.
sasa mi ni maleft wa mguu na mkono. tatizo ninamwandiko mbaya msiombe. yaani kwenye mitihani ilikuwa ngumu walimu kuelewa nilichoandika japo wengi including walimu wa primary hadi chuo walinikubali kuwa nna uwezo sana.pia hata kazini wengi wanaona hivyo japo mwenyewe najiona wa kawaida sana.
 
hizo fiksi............tukianza kuorodhesha wanaotumia mguu/mkono wa kulia hapa c mtakimbia nyie.......
 
innawezekana wadau.
sasa mi ni maleft wa mguu na mkono. tatizo ninamwandiko mbaya msiombe. yaani kwenye mitihani ilikuwa ngumu walimu kuelewa nilichoandika japo wengi including walimu wa primary hadi chuo walinikubali kuwa nna uwezo sana.pia hata kazini wengi wanaona hivyo japo mwenyewe najiona wa kawaida sana.

sio peke yako, na mimi nina mwandiko mbaya usiombee aisee kama bata kakatiza.. Gud to know tupo tupo wengi..
 
Kwa kuwa wanaotumia mköno/mguu wa kushoto ni wachache ndio maana tunaona kama wao wamebarikiwa vitu flani zaidi ya wa-kulia. Wao na cc ni walewale tu, hakuna tofauti. Mie natumia kulia na kushoto kuandikia na miandiko yote mizuri, pia enzi zangu nilikuwa nacheza soka kwa kugonga gozi kwa miguu yote lakini ndo ivo tena, nimefulia mbaya.! Sina ujiko wowote
 
innawezekana wadau.
sasa mi ni maleft wa mguu na mkono. tatizo ninamwandiko mbaya msiombe. yaani kwenye mitihani ilikuwa ngumu walimu kuelewa nilichoandika japo wengi including walimu wa primary hadi chuo walinikubali kuwa nna uwezo sana.pia hata kazini wengi wanaona hivyo japo mwenyewe najiona wa kawaida sana.
Dah! Hapo kwnye mwandiko upo correct coz mie nikiwa chuo kuna prof alikataa kusahihsha pepa zangu kisa mwandiko wa left hand!
 
mi nimewaona sawa hao mashoto kadhaa ambao wako bright, lakini pia nimesoma darasa moja o level na mashoto wa mikono wawili, yaan walikuwa ni vilaza balaaaa, mmoja alifail form two, na mwengine cjui hata aliishia wapi ila mi naona ni kwa vile kwli wapo wachache ndio maana wanaonekana wako bright kiivo, naamin kuna wengi wa kawaida tu
 
mi natumia kushoto kwa kuandika, na kujichamba nkiwa toilet. Sioni cha ajabu.
 
mi natumia kushoto kwa kufua nguo, na kujichamba nkiwa toilet. Sioni cha ajabu.
 
Hahaha..nadhani asilimia kubwa tuna miandiko mibaya..same here,nina mwandiko mbaya mpka inabidi niwe naandika herufi moja moja bila kuunganisha. Kazini wananiita jembe,class ckuwa mhudhuriaji kbc nikienda kwenye pepa jamaa wanashangaa oya umekuja kujibu nn?class huwa huji? Ila yakija matokeo ndo utanisoma.
sio peke yako, na mimi nina mwandiko mbaya usiombee aisee kama bata kakatiza.. Gud to know tupo tupo wengi..
 
Nambe,ukikuta kilaza ni kilaza kweli..ila ukikuta bright ni bright mbaya..
mi nimewaona sawa hao mashoto kadhaa ambao wako bright, lakini pia nimesoma darasa moja o level na mashoto wa mikono wawili, yaan walikuwa ni vilaza balaaaa, mmoja alifail form two, na mwengine cjui hata aliishia wapi ila mi naona ni kwa vile kwli wapo wachache ndio maana wanaonekana wako bright kiivo, naamin kuna wengi wa kawaida tu
 
Last edited by a moderator:
Mimi natumia kushoto kwa kila kitu! Mwandiko wangu sio mbaya kwa sababu unasomeka! Kuanzia O na A level nilipata division one na udsm nikapata upper second! So wanaotumia kushoto asilimia kubwa ni majembe!
 
Msijali wote mnaotumia kulia nafikiri kama amesha exaust hiyo orodha hapo juu, maana yake ni kwamba watu wote maarufu waliobakia wanatumia kulia, sasa utapima wapi ni wengi zaiadi, kama ni raisi ni moja kwenye kundi lao au wanasayansi wako watano maana yake waliobaki wote ni righties
 
Kwa kuwa wanaotumia mköno/mguu wa kushoto ni wachache ndio maana tunaona kama wao wamebarikiwa vitu flani zaidi ya wa-kulia. Wao na cc ni walewale tu, hakuna tofauti. Mie natumia kulia na kushoto kuandikia na miandiko yote mizuri, pia enzi zangu nilikuwa nacheza soka kwa kugonga gozi kwa miguu yote lakini ndo ivo tena, nimefulia mbaya.! Sina ujiko wowote

Kuna natural born lefties mkuu na wanaoAdapt kuwa lefties either toka wadogo mkono wa kulia ulikuwa limited labda mobility issues, ulipanda mti ukaanguka ukawekewa hogo kwenye mkono wa kulia ikabidi kujifunza kutumia kushoto wewe sio mashoto ni adaptation tu, ajali umekatika mkono wa kulia. Kamwe huwezi kuwa mashoto kwa kuamua kutumia mashoto hiyo kitu inaanzia kwenye brain hemispheres..
 
Mimi chekechea ilibidi bakora zitumike kunibadili toka mkono wa kushoto kwenda kulia.Kilichotokea sasa ni balaa,nilikuwa na mwandiko kama wa daktari kwenye kadi ya mgonjwa.Ila kadri nilivyozidi kusonga mbele mwandiko umezidi kuboreka na kuhusu darasani from primary school to chuo watu walikuwa wanaona vumbi langu tu mpaka wakawa wananichukia kwasababu nilikuwa adui mkubwa wa prepo time ila matokeo yangu tembo.
 
Back
Top Bottom