Sayansi tu ya kawaida!
Hiyo ardhi ina uhaba wa rutuba, mazao kama maharage huongeza virutubisho muhimu kwa ustawi wa mazao mengine😂
#mshamba_hawezi_kuelewa!
Hao wazee 74 kushuka chini😁 Mi naona inategemea na ustaarabu wa generation yako ulyokulia ujana wako! As you age, taste yako ya vitu vingi inakua stagnant..
Unajikuta unaanza kuishi kama walivokuwa wakubwa wako wa enzi izo, hata mziki utajikuta unarudia zilipendwa🤣
Huwa najiuliza hii nyama ya nguruwe aka PIG au kwa yule pori, Ngiri.. ilikuaje ikapata jina, Kitimoto!
Ni moja kati ya majina yake maarufu.
[emoji6]mkishajibu mnifundishe kupka makange yake..
Certificate C programming + HTML, Diploma C na Java kidogo bila kusahau Web development deeply, ukija Bachelor unapigwa kachumbari moja hatari.. Data structure yenyewe unarudishwa tena kwenye C.
Cha ajabu mnafundishwa kutafuta "sum of two integers" na code zingine ambazo zote interface ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.