Recent content by cleverley

  1. C

    Nimeoa mwanamke ambaye hajishughulishi kitandani wala hataki nimshike

    Hahaha, hatari Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  2. C

    Prof. Kitila Mkumbo: Dk. Slaa hana adabu na tafiti

    Wasomi wa Tanzania wamejidharaulisha wenyewe kwa kusahau taaluma na kuendekeza njaa. Wasipobadilika hakuna mtu atawachukulia serious. Ni muda kwa Professor Kitila kuomba wasomi wenzako kujitathmini pia... Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  3. C

    ACT - Tanzania inapambana na vyama vyote Tanzania

    You make sense mkuu Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  4. C

    Sheria itungwe, kutopiga kura iwe ni kosa la jinai

    Hata maana ya demokrasia hujaelewa mkuu,watu wamechoshwa na mfumo,haja ni kujiuliza kwa nini watu hawajitokezi? Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  5. C

    Kati ya AIRTEL, TIGO na VODACOM yupi yupo Cheap?

    Jibu lako ni Zantel...Angalia *149*15# chagua mpakabas kwenda mitandao yote cheapest of all Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  6. C

    Tanzania inazidiwa miundo mbinu ya barabara kiubora na Uganda!!

    Huyu anaota mkuu,kutoka dar mpaka mbinga ni lami mwanzo mwisho na lami ya kutoka songea mpaka mbinga bado mpya sana na kiwango sana,nimepita october last year... Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  7. C

    CRISTIANO RONALDO For Ballon D'Or 2013

    He was magnificent,but his time has passed,live with it dude Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  8. C

    Siku ya Benson Burner kuhojiwa na TBC leo

    Mmojawapo wa wasomi wanaouabisha usomi kwa u-CCM wake wa wazi,anasahau yeye ni mchambuzi wa siasa... Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  9. C

    Ningependa Mnyika awe raisi wa Taifa letu la Tanzania hata kama baada ya miaka15 au 20 ijayo

    Ni kweli kabisa... Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
  10. C

    Adnan Januzaj kashapata zali.........!!

    We mkali,umemeliza kisomi povu lote Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  11. C

    Engineers from dit,must are mostly professionally than udsm?

    Badala ya kujidanganya work hard mkifikishe hicho chuo chenu cha dit kwenye hizo levels mnazotaka, mie ni experienced Engineer na tatizo tunalopata kwa Graduates ni mfumo wa elimu coz hata walimu wenu huwa wanashangaa kuona mambo yanayotokea kwenye industry wakifananisha na wanayofundisha,wote...
  12. C

    DIT VS COeT, UDSM!

    Mie ni experienced Engineer na niko kwenye uajiri pia,practically wote sawa hakuna tofauti kubwa coz ni tatizo la mfumo wa elimu,hata walimu wao wakija visiting kwenye industry huwa wanashangaa tofauti ya wanayofundisha na wanayoyakuta,but theoretically COET are better ukifananisha na...
  13. C

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Kiswele Songea Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
  14. C

    Kwanini MNYIKA anaweka namba za simu za wabunge na Viongozi hadharani

    Hakuna kosa na Makamba ame-over react tu,intension ya Mnyika ilikua wazi tushinikize viongozi sio kutukana,funzo liwe kwamba kuna vitu vingi huwa vinatuumiza wananchi lakini hatupati sauti ya kutusemea,wanapopitisha vitu holela wajue maumivu tunayopata na Mnyika dared to be our voice,as per...
  15. C

    Samwel Sitta ampiga bao Lowassa urais 2015

    Let's deal with our problems first, uraisi 2015 hautusaidii kwa sasa
Back
Top Bottom