Wana Jukwaa
Salam Nyingi kwenu
Nawaombeni taratibu na nini chakufanya ili niweze kumiliki kampuni binafsi ambayo ina mtaji chini ya shilingi Milioni 10
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Uvccm na Shirikisho ni Jumuiya mbili tofauti ndani ya CCM kwanini ninyi UVCCM mnaingilia uchaguzi wa Shirikisho mmeshindwa kwenye Jumuiya yenu mnakuja kwenye Shirikisho , Enyi Sixtus Mapunda, Amiri Mkalipa, Saul Mwaisenya , Alan Kiluvya hapo Rose Garden Bar mnapanga jinsi ya kutuvurugia...
Mimi sipendi kuona mtu yoyote anatungiwa habari ya uwongo ili wananchi waaminishwe uwongo kwa faida ya ubinafsi.
Hoja yangu inajikita kwenye paragraph yako hii hapa chini, tuhuma zingine ziwezi kuziongelea kwa sababu hazihusishi watu wengine au pande nyingine nje ya Edward Lowassa mwenyewe...
Lowassa anafaaa kuwa Raisi wa Tanzania kwa miaka 10 ijayo
Ewe Mtanzania Mzalendo je wajua, Wakati wa mtoto wa kitanzania kupata Elimu bora na bure umewadia, Huduma bora za Afya kila kijiji, Ajira kwa Vijana, Matumizi bora ya rasilimali zetu umewadia, Tuungane kwa pamoja kuleta mabadiliko yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.