Huyu ndiye Prof. Sospeter Muhongo usiyemjua

Huyu ndiye Prof. Sospeter Muhongo usiyemjua

Hizo ngonjera hazisaidii chochote mkuu.
Akajipange upya.
 
Ongezea hii nyingine umesahau toka kawa waziri wa nishati na madini Tanesco hasara imekuwa ikiongezeka kwa kasi ya kutisha
 
Ila pia tusisahau kuwa ni Mwizi kweli kweli alilidanganya bunge , akalibiia na Taifa mwizi kabisa kabisa hafai hata kanisani wala msikitini mwizi
 
kwenye hyo cv mbna hujaweka kipengele cha kuiba pesa za ........ingemuongezea uzito sana hyu PROPESA wetu.

Ilisemwa hapa kuwa kapata kazi ya kimataifa baada ya kufukuzwa uwaziri hapa TZ. Kumbe ile ilikuwa usanii? Mbona haitajwi kwenye hii Cv? Nakumbuka kuna wakati alihojiwa na shirika moja la utangazaji la kimataifa, naye hakugusia hiyo latest appointment!!!
 
Angekuwa Jembe asingekubali kufanya kazi na kikwete, hata kama kikwete alimuahidi kitu gani alipaswa kukataa sababu taifa Zima linajua kikwete ni muongo yeye alikubali vipi kama jembe.

ujembe wake ulipaswa umuonyeshe likelihood kubwa ya kukutana na madhira aliyokutana naye kwa kufanya kazi na kikwete,
 
Watanzania wa leo hawahitaji hizo distinguished awards, watu wanahitaji uwajibikaji, kuondoa umaskini, elimu bora kwa watoto wao. People need food before their tables and not awards and honors. Watanzania wamepigika sana na umaskini, elimu ya ubabaishaji...kuwawekea awards za disgraced minister haziwasaidii ku-eradicate poverty au kuleta unafuu wa maisha.

Ok. Hebu mpime kwa yale mafanikio aliyoyafanya akiwa MEM, je anaweza au?

Inamaana hujaona idadi ya nguzo zilizosambaa kote nchini zikiwatafuta wanavijiji kuwaondolea ujika umasikini na maradhi?
 
Ila pia tusisahau kuwa ni Mwizi kweli kweli alilidanganya bunge , akalibiia na Taifa mwizi kabisa kabisa hafai hata kanisani wala msikitini mwizi

Aliiba kiasi gani au aliiba nini?

Isije kuwa aliwaibia wake zenu ndiyo maana mnamkasirikia na kumwita mwizi BILA KUTAJA KAIBA NINI
 
Visionary and Innovative Leadership – Integrity and Dedication - Excellent Management Skills and Experience – Transparency – Efficiency - High Impact Quality Delivery

Prof Dr Sospeter Muhongo, a distinguished scholar, chartered geologist, Nominated Member of Parliament is the Immediate Past Minister of Energy and Minerals of the Republic of Tanzania. He is Officier, Ordre des Palmes Académiques (an academic decoration founded by Emperor Napoléon, 1808) and is the first recipient (2004) of the Geological Society of Africa’s prestigious Prof Robert Shackleton (UK) Award for Outstanding Research on the Precambrian Geology of Africa.

In recognition of his world-class distinguished contribution to earth sciences and to the prosperity of the global society, Prof Muhongo has been elected to numerous learned Professional Fellowships including: An Honorary Fellow of the Geological Society of London (est. 1807), Honorary Fellow of the Geological Society of America (est. 1888) and an Honorary Research Fellow of the Chinese Academy of Geological Sciences (est. 1956).

He is a Fellow of the Academy of Sciences for the Developing World (FTWAS), a Fellow of the Geological Society of Africa (FGSAf), a Fellow of the African Academy of Sciences (FAAS) and a Fellow of the Tanzania Academy of Sciences (FTAAS). He is the Immediate Past Vice President of the Commission of the Geological Map of the World (CGMW) and also an Immediate Past Editor-in-Chief of the Journal of African Earth Sciences (Elsevier). Prof Muhongo is the 2014 winner of the prestigious Nigerian Mining and Geosciences Society (NMGS)/AMNI Petroleum Award of Prof M.O. Oyawaye.

Prof Muhongo championed the innovative and sustainable reform (April 2012-Jan 2015, Minister of Energy and Minerals) of the energy and mineral sectors of Tanzania bringing about new policy and legal documents, increased well-trained human resource in the country’s oil and gas industry, predictable power supply, accelerated rural electrification campaign, increased revenue to the Central and Local Governments, technologically-supported small scale-mining, new investments, and a sound annual economic growth.

He is Full Professor (retired) of Geology at the University of Dar Es Salaam and an Honorary Professor of Geology at the University of Pretoria, South Africa. He is a member of several editorial boards of science journals and bulletins.
Prof Muhongo and his research colleagues have published maps based on modern geological concepts and knowledge: Geology and Major Ore Deposits of Africa, Geology and Gemstones Deposits of East Africa and Geology and Mineral Map of Tanzania. These maps are widely used to promote new investments in the Africa’s mineral sector. He is the Senior Editor of the book (2009) on, “Science, Technology and Innovation for Socio-Economic Development: Success Stories from Africa.”

Prof Muhongo was the President of the Geological Society of Africa (1995-2001). He was the founding Regional Director (2005-2010) of the ICSU Regional Office for Africa, Pretoria, South Africa. He was the Chairperson of the UNESCO-IUGS-IGCP Scientific Board of International Geoscience Programme (2004-2008), and the Chair (2007-2010) of Science Programme Committee (SPC) of the UN-proclaimed International Year of Planet Earth (IYPE). Prof Muhongo was nominated by his country to be a candidate (2009) for the post of the Director General of UNESCO.

He was the Chairman (1999-2005) of the Board of Directors of the State Mining Corporation (STAMICO), Tanzania; and was the Head (1997-2000) of the Department of Geology, University of Dar Es Salaam. Prof Muhongo was the Chairman (2002) of the Tanzania Government's Commission of Inquiry on the deadliest Merelani tanzanite mine's accident.

Prof Muhongo has published over 200 well acknowledged research articles. He has delivered more than 500 invited keynote speeches at both national and international conferences. Over the past two decades, Prof. Muhongo has co-organized over 100 expert group meetings and international earth sciences, STI and science policy conferences, including those on “Science with Africa (Rapporteur-General)” which are hosted by the United Nations Economic Commission for Africa (UNECA), the African Union Commission (AUC) and their partners.

Prof Muhongo is a recipient of numerous scholarly and professional awards, recognitions, grants, and fellowships. He studied geology at the Universities of Dar Es Salaam (Tanzania) and Gӧttingen (Germany). He graduated with Dr.rer.nat. degree from the Technical University of Berlin, Germany. Prof Muhongo is fluent in Kiswahili, English, German and French (basic).

05 February 2015
FGSAf, FAAS, FASI, FASSAf, FGIGE, FTWAS, HonFCAGS, HonFGSA, HonFGS, CGeol, EurGeol
Umesahau kutaja sifa zake kuu mbili ambazo ni UWONGO na MAJIVUNO
 
Bado mnahangaika na profesa Mhongo, huyu si alishatupwa kwenye dustbin na profesa JK!!

Yeah, anaweza kuwa alitupwa kwa bahati mbaya mtoto mdogo akabeba hiyo dustbin akamwaga uchafu wake MEZANI.

Baada ya kuchambua tukakuta kuna kitu cha thamani ndani yake....:smile-big:

Sasa siku ukiambiwa ndiye CHAGUO LA CHAMA sijui utahama nchi au?

Nakushauri usitoe hukumu kwa yeyote wakati huu wa kutafuta wagombea.... kwani baadhi yao wakishinda huwa WANALIPIZA VISASI.... TAKE CARE
 
Ninaweza kutamka bila shaka kuwa, 'HATA UWE NA AKILI NA UWEZO WA NAMNA GANI, UKIPEWA KAZI YA KUWAONGOZA VICHAA SI AJABU VICHAA WOTE WAKAKUZONGA NA KUKUTUKANA KUWA HUNA AKILI WALA UWEZO WA KUWAONGOZA. NA VICHAA WANAWEZA KUUNGANA NA KUMTANGAZA KICHAA ZAIDI YA WOTE KUWA NDIYE MWENYE AKILI NA UWEZO WA KUWAONGOZA NA WAKAKUFUKUZA WEWE ULIYE MZIMA'.

Watanzania tumekuwa kama vichaa maana hatuelewi tunataka nini. Tunafurahia kuongozwa na kutawaliwa na wajinga wenye maneno ya kutupamba hata kama maneno haya hayatusaidii wala kuondoa mahali tulipo. Tunawachukia watu wenye akili na uwezo alimradi tu kama watu hao ni watii wa nafsi zao na wana ujasiri wa kutueleza ukweli ambao wakati mwingine ni ukweli wenye majonzi.

Hata tumpe uwaziri wa Nishati mtu gani, hakuna mtanzania hata mmoja wala watanzania kwa umoja wao wenye uwezo wa kutafiti mafuta au gas kwenye deep waters. Watu wanaweza wasipende ukweli huu alioutamka Muhongo lakini ni kweli kwamba hata tusipopenda haitabadilisha ukweli huo. Tunaweza kuzuia kusikia lakini hatuwezi kuzuia ukweli. Siyo kwamba mataifa mengine yote ni wajinga au siyo matajiri kama sisi kiasi kwamba mpaka leo hii ni makampuni 6 tu Dunia nzima ndiyo yanayotafiti na kuchimba mafuta/gas kwenye maji ya kina kirefu. Huo ni ukweli, na hauwezi kubadilika kwa sababu hatupendi kuusikia.


Economic Hit Men huwa wanapambwa sana na mataifa makubwa yenye kuwamiliki!!! jiulize pamoja na sifa zote walizomwagia; amewafanyia nini Watanzania zaidi ya UFISADI na kuwanyima kumiliki Gas na Madini kwa maslahi ya Watu wa Magharibi?... Waafirika wasomi wanatia kinyaa sana ....
 
Huo uchafu kuupata si kazi km unaperuzi waliyoandika wengine bila kuhitaji realtime decision making.
 
....ndo maana mwizi sana kumbe limesoma hivo hili jamaa jizi sana, ...
 
Ok. Hebu mpime kwa yale mafanikio aliyoyafanya akiwa MEM, je anaweza au?

Inamaana hujaona idadi ya nguzo zilizosambaa kote nchini zikiwatafuta wanavijiji kuwaondolea ujika umasikini na maradhi?

Wow...siwezi amini kama unaweza kutoa comparison ya namna hiyo na ikakubalika. Kwanza ukumbuke kuwa kwa uzembe wake ni mabilioni mangapi yamepotea? Je unaweza kulinganiza na hizo nguzo unazosema? How many people are dying kwa kukosa madawa mahospitalini, au wanapata elimu zisizo na viwango kwa sababu ya ubadhilifu unaofanyika huko serikalini? Escrow ni mfano tu, kuna uchafu mwingi ambao haujafumuliwa kwa public ikiwemo mradi wa bomba la gesi.
 
ongeza na mwizi kwenye cv yake

Mkuu umesahau, nyodo na jeuri plus kujidai, hivi yeye anadhani ndo professa wa kwanza Tanzania?,Ila Mungu mkubwa mtu kama huyu hakupewa kipaji hata cha kusikilizwa na familia yake.
 
This kind of information needs to be known before someone gets sucked, it could help him!
 
Niseme hivi: Prof Muhongo amesheheni weledi katika taaluma. Prof Muhongo ana mafanikio makubwa sana kielemu na ni wachache sana kwenye bara hili la Africa wanafikia mafanikio yake. Hata Prof Lipumba ambaye anaitwa na mashabiki wake bingwa wa uchumi duniani (sikweli japo naheshimu mafanikio yake) ni mtoto tu ukilinganisha na miguu ya Muhongo katika taaluma na mafanikio yake. Naona uwaziri katika serikali hii iliyojaa rushwa na ubadhirifu ilikuwa ni kosa kubwa sana kwa Muhongo. Angeukataa uwaziri, kwanza si size yake lakini kibaya zaidi inamshushia hadhi na kuanika udhaifu wake katika mawasiliano.
Lakini pia niseme kwa dhati kabisa licha ya Weledi wake na mafanikio yake adhimu Prof Muhongo, ambaye alifaulu kupitia darasa nililomaliza darasa la saba miaka mingi kabla sijazaliwa ameufedhehesha taaluma na hadhi yake kwa kukubali mtindo wa kupiga dili alioukuta katika serikali ya JK Kikwete na ambayo ni desturi katika utawala wote wa CCM ulivyokuwa baada ya Mwl. Nyerere. Prophesa KAIBA pesa ya umma ambao kwa alipofikia hakuwa na haja ya kudhalilisha maadili yake kwa tamaa za kipumbavu za watu wa CCM. Angejiuzulu asijishushie heshima hata kama bosi wake JK ndiye alikuwa mkuu wa dili. Hata kama Prof hatuna ushahidi kwamba aligawiwa ngapi (kumbuka waliogawiwa Pesa Stanbic hata kamati ya PAC haikupata majina yao)ushahidi wa kimazingira na kimantiki ni kwamba wanufaikaji wakubwa wa dili hili la kishenzi ni Profesa Muhongo na bosi wake.
Profesa umejiaibisha na umeaibisha taaluma yako na wanataaluma.
Mwisho niseme Profesa amefanya kazi vizuri sana Tanescco na watu wa Tanesco amewanyosha na kuwaondolea urasimu wa kijinga waliokuwa nao. Mazuri aliyofanya hayawezi kufuta makosa makubwa waliyoitendea taifa, yeye na bosi wake Profesa wa Kichina.
 
Back
Top Bottom