Pole yenu sana ila ndoa ni mitihani uliopewa na Mungu naomba usifanye maamuzi Kwa pupa jipe muda wa kukaa mwenyewe na kutafakari Kwa makini utapata uamuzi WA busara pia Yule jamaa wako wa chuo mfute akilini wakati unatafari Maisha yenu maana ukiweka kuwa yeye ndo mbadala IPO siku utamkumbuka...
Serikali izidi kubana tuweze kuondokana na matumizi ya plastics zote hata chupa na vifungachio vyote vya plastics vioondolewe kabisa naipongeza Sana serikali Kwa kuanzia hapo nawaende mbele zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.