Majiji yetu ni machafu saba huo ndio ukweli, tungekuwa na utaratibu kwa kikabiliana na hili swala uchafu, mifuko ya plastics isingekuwa tatizo, yaani badala ya kutumia ilo tatizo to create ajira, wenzetu wako wengi kuliko sisi na bado wanatumia hiyo mifuko,
wenzetu wanamifumo mizuri ya uzoaji takataka ambapo makampuni yanazoa takataka majumbani na kussfisha miji. Kwa kufanya hivi wametengeneza ajira nyingi tu. Sasa hili kweli mpaka mzungu aseme kweli? Ebu tujifunze kwa kugeuza matatizo kuwa opportunity.