Kuwaleta duniani na kuwalea hata kwa umasikini nilo nao inatosha sana na ndio itakuwa mipongo ya mungu, kama haitoshi basi kabla sijafa wachaguwe kabisa babayao watakayo mkumbuka akifa.
Hata mimi nimefuga sana hao njiwa na kaka lakini sina uhakika na hilo zidi ya watu kujakwangu kununuwa tena wanapenda sana njiwa weupe na weusi sasa sijuwi kama hao nao walikuwa na imani kama hiyo!!
Mbona wana ccm hamjiamini! mnajitahidi sana na mipango yenu ya kutaka wananchi wakubali uongo wenu wa kupandikiza mambo kuivuruga UKAWA lakini hamtaweza mtanzania wa leo si wa mwaka 2010 watu wanaijua ccm na janja yake naona mnatumia nguvu nyingisana kuivunja UKAWA hataweza ng'oo.
Ishu imeanzia kwenye vocha nime kamaindi nikampa buku 5000 nikamuambia kanunue tigo ingiza kwenye cm yoko kisha nipunguzie buku 3000 mbili na wewe utumie ndio mchezo ukaanzia hapo ninako mpaka sasa.
Ishu imeanzia kwenye vocha nime kamaindi nikampa buku 5000 nikamuambia kanunue tigo ingiza kwenye cm yoko kisha nipunguzie buku 3000 mbili na wewe utumie ndio mchezo ukaanzia hapo ninako mpaka sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.