Kama uwepo wa Mungu ni theory jiulize hiyo pumzi Binadamu aliipata wapi na je Binadamu ana uwezo kuidhibiti isimtoke? Amini Mungu aliyeumba mbingu na dunia yupo na tu hai na Mungu no Roho alituumba kwa mfano wa Roho yake kwa hiyo hijalishi u taahira kilema nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.