Recent content by Classical theorist

  1. Classical theorist

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Habari wana jamvi!!!! rejea kicha ya uzi huu,,, nahitaji msaada jinsi ya kuandaa business plan au organisation profile ,,, mwenye sample akinitumia itakua vyema sana
  2. Classical theorist

    Ushauri: Anataka kunipeleka Ustawi wa Jamii, je sitatoa pesa nyingi kwa ajili ya matunzo ya mtoto?

    Mkuu ustawi mnapelekana kama hutoi matunzo!!! kama unatoa Hanna Haya ya kwenda ustawi ,,, kwa kua ni mtumishi wa asilimia Fulani ya mshahara wako itakatwa direct kwenda kwa mwanamke kwaajili ya matunzo
  3. Classical theorist

    Tunatafuta Mhisani/Mfadhili// mwekezaji

    Nikiwa Director wa registered CBO iitwayo lifelong learning community based organisation yenye ofisi mkoa wa Dodoma wilaya ya Dodoma mjini,,, Inajihusisha uhamasishaji wa masuala mbalimbali ya kielimu kama kuhamasisha elimu ya ujasiriamali,, Stadi za Maisha nk. nna kutoa huduma ya elimu kwa...
  4. Classical theorist

    Tunahitaji mhisani/mfadhili/ mwekezaji wa kampuni yetu ya CBO

    Natafuta mfadhili/ mhisani au mwekezaji. Mimi nikiwa kama Director wa registered CBO iitwayo lifelong learning community based organisation yenye ofisi Dodoma mjini tunahitaji mhisani/mfadhili au mwekezaji wa hii CBO. Taasisi yetu imejikita katika kuhamasisha masuala mbalimbali ya kielimu...
  5. Classical theorist

    Natafuta mfadhili au Wafadhili wa kuwekeza kwenye Organization yangu

    Habari wana jamvi!! Mimi ni kijana Mtanzania Halisi Mwanzilishi Community Based Organization (CBO) iitwayo lifelong learning community based organization yenye ofisi iliyo sajiliwa mkoa wa Dodoma mjini,, Taasisi yetu imejikita katika kuhamasisha masuala mbalimbali ya kielimu katika jamii kama...
  6. Classical theorist

    Masaa mawili baada ya Mange kusitisha promo ya Seduce Me, Zilipendwa yakamata #1 on Trending

    Vepee tena!! kama ni mashindano hayako fair haiwezekani WCB kama clue washindane na kiba !!!
  7. Classical theorist

    Mrejesho na ufafanuzi: Yatokanayo na tiba ya chumvi

    Hem nipe maelezo kidogo kuhusu hayo matumizi ya chumvi,,, yan inatumikaje na unanena UKIWA unaitumia??
  8. Classical theorist

    Bashe: Ualimu ni chaka la watu waliofeli, Hakuna dira ya taifa la viwanda

    Hivi mambo ya elimu tuwaachie wataalamu Wa elimu,, ktk viwango vya assessment pass, na ,fail inafahamika,,kwan kuna mwalimu aliye na Zero?? huwezi Fanya selection ya one ukawapeleka kufundisha,,,hao wanaandaliwa kwa level za juu,,, watu Wa kati wanaandaliwa kwa level za kati,,, Alafu huu...
  9. Classical theorist

    Zitto Kabwe: Nusu ya walimu wanalipwa mishahara ya bure, hawafundishi

    Waache siasa zao kwa walimu wetu wanaojituma katika mazingira magumu kiuchumi,,,,kijamii hata kiutamaduni.... walimu wetu wanamoyo sana ila wao na masiasa yao wanahalibu kuwaingilia
  10. Classical theorist

    Ndanda vs Yanga kucheza DSM

    Mpira ni mchezo wa kiungwana!
  11. Classical theorist

    Jipu NECTA: Mitihani ya form six yavuja kwa kasi ya ajabu

    Nini chanjo cha kuvuja?? sababu kila mwaka lazima ivuje
Back
Top Bottom