Tatizo la chama kl mtu ni msemaji, kl mtu anaropoka kutokea ktk angle yake, chama hakina utaratibu nani aseme hiki kwa wakati gani, wametuvuruga hadi hatuelewi nn tuamini kutoka kwao
Km haya ndio mawazo ya vijana wanaojiita wasomi, basi ni bora tusisomeshe watoto wetu! Yaani wewe kwa sbb huna ajira basi miundombinu isirekebishwe au ndege kwa ajili ya kukuza uchumi wa nchi zisinunuliwe? Hii ni kwa Tz pekee! Learn to be positive!
Ni ushauri wa bure tu, km huna taarifa na kitu unachozungumzia ni vema na busara wakati mwingine kukaa kimya tu hata km ni.ngumu, unajiaibisha unapoandika vitu usivyo na uhakika navyo, halafu unaandika km unavielewa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.