Dr. Slaa, umeketi upande gani sasa?

Dr. Slaa, umeketi upande gani sasa?

Binafsi, sijawahi kuelewa EL ni nani hasa kwenye hayo matukio ya Ufisadi.
Maana, pande zote zinamlialia awe kwenye timu yao.

Huwa nashangaa sana, halafu EL hajawahi hata kukubali au kukataa tuhuma.

Yaani, wakati mwingine huwa namtathimini EL naishia kusema Mwenyezi Mungu na waliomlea EL wanastahili sifa na heshima sana.

Any way, Live longer Hon. Lowasa.
 
Sote tunalifahamu hili. Lakini kwa kukumbushana tu, Dr. Aliondoka CHADEMA kwa sababu ya Ukaribisho wa Lowasa ambao ulikuwa ni kinyume na utashi wake. Hoja kuu ilikuwa kwamba Lowasa ni fisadi na hakupashwa kutendewa na upinzani namna alivyotendewa.

Dr Slaa hakuishia kuondoka tu, bali pia alikwenda hatua moja mbele ya kusaliti upinzani na kupigia kampeni Chama Cha Mapinduzi akiamini kwamba kwa kuondoka kwa LOwasa, basi ufisadi umekwisha ccm. Bila shaka aliamini kwamba yeye na CCM sasa watakuwa wakiongea lugha moja, wakitembea njia moja, na kushare vision.

Lakini hivi punde, Mwenyekiti wa CCM ametamka suala linaloonyesha kwamba Lowasa hana hatia yoyote na anastahili kuenziwa kwa mambo makuu aliyolifanyia taifa hili.



Ninaomba kusikia kutoka kwa Dr. Slaa. Nini msimamo wako Dr kwa sasa, juu ya ubia wako na ccm, ccm inayotangaza kumuenzi Lowasa kwa kuwa ni mtu safi, mtu safi kwa rafiki zako CCM ambao umeingia nao ubia wa imani ambao wanamsifu mtu unayeamini ni mbaya kiasi cha kubadilisha kwa sehemu kubwa ndoto za maisha yako?

Uliamini wa haraka haraka kwamba CCM without Lowasa ni takatifu. CCM hiyo hiyo inatangaza kumuenzi Lowasa kwa ubora wake. Unajisikiaje baada ya hapa?

CCM wote, semeni, Lowasa ni fisadi ama si fisadi?

Mkishakunywa gongo hakuna cha maana cha kuandika huko ufipa?
 
Siasa za Africa ndivyo zilivyo I tanzania tumezidi maana sijui wanajifunza kutoka wapi? Maana matukio yote yanayotokea apa kwetu nayaajabu mmbaka wanatushangaa
 
Binafsi, sijawahi kuelewa EL ni nani hasa kwenye hayo matukio ya Ufisadi.
Maana, pande zote zinamlialia awe kwenye timu yao.

Huwa nashangaa sana, halafu EL hajawahi hata kukubali au kukataa tuhuma.

Yaani, wakati mwingine huwa namtathimini EL naishia kusema Mwenyezi Mungu na waliomlea EL wanastahili sifa na heshima sana.

Any way, Live longer Hon. Lowasa.

Alishajibu. Mwenye Richmond ni Kikwete. Akasema yuko tayari kupelekwa mahakamani, lakini ccm na serikali yake Kimya!!. Hakuna hata mmoja aliyediriki kumfungulia mashtaka hata huyu aliyekuwa ananyamba nyamba juzi kumfungulia mashtaka Lisu!.

Ni hivi CCM walianza kuzomea ufisadi wa Lowasa baada ya kuhamia chadema, lakini si nani wala nani mwenye ujasiri wa kumchukulia hatua za ufisadi. Na sasa wakati wafuasi wakiimba nyimbo za kukaririshwa kwamba Lowasa ni fisadi, mkuu wao ameshatangaza "KUMTUNUKU LOWASA KWA UZALENDO WAKE".

Swali langu ni kwa Dr Slaa, anaketi kiti gani baada ya kujiunga na ccm kwa kuwa hawezi kukaa na fisadi Lowasa sehemu moja, na sasa ccm alikokimbilia kwamba ni pasafi, wanamlilia Lowasa hadi kutangaza kumuenzi!. Ninahoji msimamo wake sasa baada ya kuwekwa bayana kwamba CCM inaposema inapambana na ufisadi ni geresha na wala hawajui maana ya ufisadi kwa kuonyesha kwamba mtu akihama ccm ndiyo anakuwa fisadi na akirejea kwao (KII ITIKADI), aenziwe?

Aidha nimehoji wana CCM wanaosema sasa wanadeal na mafisadi, wakisema Lowasa ni fisadi na kuhamia UKAWa ni kwamba UKAWA imekuwa ya mafisadi. Wanapomnanga Lowasa kivile, wakati huko huo wanamlilia arudi CCM!. Swali langu kwa CCM ni hili "Lowasa ni fisadi ama siyo fisadi"
 
Alishajibu. Mwenye Richmond ni Kikwete. Akasema yuko tayari kupelekwa mahakamani, lakini ccm na serikali yake Kimya!!. Hakuna hata mmoja aliyediriki kumfungulia mashtaka hata huyu aliyekuwa ananyamba nyamba juzi kumfungulia mashtaka Lisu!.

Ni hivi CCM walianza kuzomea ufisadi wa Lowasa baada ya kuhamia chadema, lakini si nani wala nani mwenye ujasiri wa kumchukulia hatua za ufisadi. Na sasa wakati wafuasi wakiimba nyimbo za kukaririshwa kwamba Lowasa ni fisadi, mkuu wao ameshatangaza "KUMTUNUKU LOWASA KWA UZALENDO WAKE".

Swali langu ni kwa Dr Slaa, anaketi kiti gani baada ya kujiunga na ccm kwa kuwa hawezi kukaa na fisadi Lowasa sehemu moja, na sasa ccm alikokimbilia kwamba ni pasafi, wanamlilia Lowasa hadi kutangaza kumuenzi!. Ninahoji msimamo wake sasa baada ya kuwekwa bayana kwamba CCM inaposema inapambana na ufisadi ni geresha na wala hawajui maana ya ufisadi kwa kuonyesha kwamba mtu akihama ccm ndiyo anakuwa fisadi na akirejea kwao (KII ITIKADI), aenziwe?

Aidha nimehoji wana CCM wanaosema sasa wanadeal na mafisadi, wakisema Lowasa ni fisadi na kuhamia UKAWa ni kwamba UKAWA imekuwa ya mafisadi. Wanapomnanga Lowasa kivile, wakati huko huo wanamlilia arudi CCM!. Swali langu kwa CCM ni hili "Lowasa ni fisadi ama siyo fisadi"

Tabby,
Mkuu,
Basi EL atakuwa siyo fisadi ila alilazimishwa kusaign au kutumika ili watu wapige mzigo labda ndiyo maana alikatwa jina kumkomoa.


Dr. Slaa yeye anachezeshwa ngoma ya Wakubwa japo, yuko smart upstair lakini chenga waliyomla wamemkamata.

Mukubwa, anahitaji EL amsaidie 2020 maana, Dr Slaa tayari ameisha katwa mkia.
 
Mshiko alopewa umekwisha sasa afanyeje? Na yule mrembo wa ki haya anataka kuishi life style ile ile. Atavumilia tu
 
Alishajibu. Mwenye Richmond ni Kikwete. Akasema yuko tayari kupelekwa mahakamani, lakini ccm na serikali yake Kimya!!. Hakuna hata mmoja aliyediriki kumfungulia mashtaka hata huyu aliyekuwa ananyamba nyamba juzi kumfungulia mashtaka Lisu!.

Ni hivi CCM walianza kuzomea ufisadi wa Lowasa baada ya kuhamia chadema, lakini si nani wala nani mwenye ujasiri wa kumchukulia hatua za ufisadi. Na sasa wakati wafuasi wakiimba nyimbo za kukaririshwa kwamba Lowasa ni fisadi, mkuu wao ameshatangaza "KUMTUNUKU LOWASA KWA UZALENDO WAKE".

Swali langu ni kwa Dr Slaa, anaketi kiti gani baada ya kujiunga na ccm kwa kuwa hawezi kukaa na fisadi Lowasa sehemu moja, na sasa ccm alikokimbilia kwamba ni pasafi, wanamlilia Lowasa hadi kutangaza kumuenzi!. Ninahoji msimamo wake sasa baada ya kuwekwa bayana kwamba CCM inaposema inapambana na ufisadi ni geresha na wala hawajui maana ya ufisadi kwa kuonyesha kwamba mtu akihama ccm ndiyo anakuwa fisadi na akirejea kwao (KII ITIKADI), aenziwe?

Aidha nimehoji wana CCM wanaosema sasa wanadeal na mafisadi, wakisema Lowasa ni fisadi na kuhamia UKAWa ni kwamba UKAWA imekuwa ya mafisadi. Wanapomnanga Lowasa kivile, wakati huko huo wanamlilia arudi CCM!. Swali langu kwa CCM ni hili "Lowasa ni fisadi ama siyo fisadi"
Sijui imani yako lkn biblia iko wazi kabisa. Kulikuwa na mtu mmoja akiitwa Sauli huyu kazi yake ilikuwa ni kuteka na kuwapeleka watumishi wa Bwana Yesu kwa watawala ili wakateswe kwa kosa la kumhubiri Bwana Yesu. Lkn iko siku Bwana Yesu akasema "enough is enough". Huyu mtu huyu nguvu anazotumia kuwatesa watu wangu anatakiwa azitumie kuhubiri injili. Ndipo akamkabiri Sauli mpk akaokoka. Na hakuna mtu aliyeandika vitabu vingi kwa njia ya nyaraka kama Paulo (former Saul). Mfano huu nimeutoa kwa sababu hao watu wa hicho kikundi ulichokieleza wanayo cancer ndani ya ideology yao inayoitwa "Al Fisaad" .Piga ua ndani ya damu yao kuna ufisadi. Hata km ikitokea leo malaika akijitokeza na kuwa join watamforce tu a wa join ktk imani yao. The only safe person ni yule anayeweza kuwaacha basi
 
Tabby Dr Slaa hakuondoka Chadema sababu ya ukaribisho wa Lowasa, Dr Slaa aliondoka Chadema sababu hakupitishwa kugombea urais ila Lowasa alipitishwa. Laiti Lowasa angekaribishwa tu na yeye Dr Slaa kupitishwa kugombea urais angekuwa bado Chadema.

Kilichomtoa daktari Chadema ni tamaa ya urais
Na kilichomleta rais wa mioyo yenu ni.......!
 
Dr Slaa hakuishia kuondoka tu, bali pia alikwenda hatua moja mbele ya kusaliti upinzani na kupigia kampeni Chama Cha Mapinduzi akiamini kwamba kwa kuondoka kwa LOwasa,
Mwacheni mzee afanye yake,amewaachia chama chenu kikiwa na nguvu kubwa
Mnaporomoka kwa kasi mnatafuta mchawi.
Umeahasema slaa msaliti,halafu unataka kujua msimamo wake,akili yako haina tofauti na mbeba karai
 
Back
Top Bottom