kwani huyo anaeenda olewa nae anajua ana mapungufu gani au ndo bahat na sibu ina maana akimkuta mbaya zaid itakuaje? isitoshe hajakaa mda mrefu toka adivorce anajump kwa kakijana kengine hata maumiv hajasahau hii ni hatari kwake.ni mtazamo tu
mkuu swali zuri sana na kwa kuongezea tu ni kwamba kama kila mtu anatakiwa kuwa na iman yake na hiyo iman wanamwamin Mungu wa mbingun how come as a society moja mnakutana halafu mnasema mnamwamin mungu ni yupi huyo ktk iman hiyo?why mueke mambo ya iman wakat kila mmoja ana yake?na sacrifice ni...
Hahahah sijui ndo ile capacity yake ya kuthink outside the box ndo kaitumia maana nimeshindwa kumwelewa defencing mechanism alotumia kha.It was too low to fit .Poor him.Lord have mercy .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.