NYUMBA KUBWA umejibu vizuri sana,nimejaribu kupitia hizi comment nimegundua wengi wao wanajifanya ma saint kupita maelezo lakini kama ukweli ndio huo huwezi kufanya mapenzi na mtu usiyempenda kwa nini most of people if not all wana michepuko? Nadhani wengi wanacomment kwa kutazama hisia zao na...
Kuna watu wana comment za kuongeza stress duuuhh..!but all in all ni kwamba sidhani kama mimi ndio wa kwanza kupatwa na scenario kama hii...ngoja waje wahanga wenzangu wanipe experiencies zao walisolve vipi..karibuni!!!
Ni haki yako kusema hayo unayosema ndugu kwa sababu hayajakukuta,but ukweli ni kwamba everything was clear before kwa sababu nili mnotify mapema kwamba sihitaji mtoto kwa miaka ya karibuni na yeye akakubali ,nikamwambia tutumie cndms akasema zinamuumiza atatumia njia nyingine za kuzia...
Kiukweli naweza amini hicho unachokisema ,coz mara kwa mara nilimsikia akisema anatamani kuzaa na mimi na mimi nikawa namjibu sipo tayari kwa sasa labda miaka kadhaa ya mbele..na kuna muda nilidhamilia kubreak kabisa relationship coz sikufanya mawasiliano karibia mwezi mzima sasa cjui nn...
Umeuliza swali zuri sana,nimeanzaje kumtia wakat simpendi ..right ni kwamba she was the one who spoke to me kwamba ananihitaji,of course nilimkatalia kwamba siko tayari nina mpenzi wangu(though kwa muda huo nilikuwa single)but hakutaka kuelewa kila siku akawa anaendelewa kuniplease huku analia...
I regret this so badly n am feel very sorry for my soul..unajua kuna some incidence huwa zinatokea bila hata kutegemea..cjui hata nifanyeje ..when I look at my son drop of tears hits the ground
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.