Hii mada kila mtu atavutia kwake kulingana na maeneo anapoishi..watu wa kanda ya ziwa watakuambia Sato na sangara ndio watamu na watu wa Pwani watakuambia kibua ndio mtamu.Kwa mimi ambaye nimebahatika kutembea na kuishi maeneo hayo yote naweza kusema samaki wote ni watamu ila inategemea na...
Jogina njoo ushushe gazeti hapa kuelezea ni nani anayeongea katika hizi aya..na wewe ukishindwa kutoa majibu hapa nitaamini kweli hizi aya zinauzika uislamu moja kwa moja.
Quran 75:16
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
Quran 75:17
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha...
Ukisoma kwa makini hizi aya hapa chini utagundua hawa wanaoongea hapa ndio waanzilishi wa uislamu,maana sio Allah anayeongea wala sio Gibril .. kama kuna muislamu anabisha aje na utetezi ulionyooka na aseme ni nani anayeongea.
Quran 75:16
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka...
Mpaka sasa sijapata majibu juu ya haya hizi.Waislamu wasomi wapo wengi sana humu ila hili swali wanaliogopa na sababu kubwa ni kwamba linaanika imani yao kuwa ni ya uongo.Kama wanabisha waje kusema nani anayeongea katika haya hizi.?
Quran 75:16
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia...
Hizi propaganda zipo nyingi sana mitandaoni..
Mimi muislamu akiweza kujibu hili swali nitaamini hii dini ya kweli
Quran 75:16
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
Quran 75:17
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
Quran 75:18
Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma...
Kabla sijaanza kufuatilia mambo ya dini kiundani ,nilikuona naona uislamu ndio dini sahihi maana mihadhara mingi walikuwa wanatamba wao..ila baada ya kuingia kiundani nikaona upepo unabadirika na kugundua ukristo ndio dini sahihi sema tu umekosa usimamizi kama waislamu wafanyavyo.Lakini kiufupi...
Hili swali covax analiogopa na naamini hakuna muislamu anayeweza kulijibu hili swali kwa sababu hata wao hawajui anayeongea hapa ni nani ila wanabaki kumeza tu.
Quran 75:16
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
Quran 75:17
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
Quran...
Sawa naomba jibu hapa
Quran 75:16
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
Quran 75:17
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
Quran 75:18
Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake.
Anayeongea katika hizi aya ni nani..ni Allah,ni Gibril au wote?
Covax shirikiana na wakina kishk kujibu hili swali..kama hamuliwezi tuwabatize..najua kwa nini mnaliogopa.
Quran 75:16
Usiutikisie huu wahyi ulimi wako kwa kuufanyia haraka.
Quran 75:17
Hakika ni juu yetu kuukusanya na kuusomesha.
Quran 75:18
Tunapo usoma, basi nawe fuatiliza kusoma kwake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.