Recent content by CK Allan

  1. CK Allan

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti wa CCM, Samia Suluhu achukua Fomu ya Urais Oktoba 2025

    Kushindana na Chauma? (Chama cha ujinga na Mavi)
  2. CK Allan

    JamiiForums Tanzania GE2025 Amos Makalla atazungumza na taifa muda wowote kuanzia sasa

    Sisiemu bhana 🤣
  3. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Kati ya Equity card,mpesa mastercard au airtel ipi bora?

    Mpesa ni rahisi ingawa ni kwa ushauri usiweke pesa nyingi kwenye iyo card weka pesa pale tu unapotaka kufanya malipo
  4. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki Lawapa Mahala Pa Kuabudia Waumini wa Gwajima

    Sasa hapo Ndio Game imeanza
  5. CK Allan

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Shigongo: CCM ndiyo chama cha kuleta maendeleo Tanzania, Vijana wa CCM ni waelewa na wana akili

    Alete matokeo yake ya Form four kwanza
  6. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Kulikoni ajira za ualimu 2024?

    Shida kubwa ni Sisiemu Nyie hamjui tu
  7. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda: Arusha sasa inazalisha Magari aina ya Defender na kuyapeleka Ulaya

    Baba ni muongo huyu jamani... Aibu nimeona mimi huku
  8. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Waziri Mchengerwa: Arusha Mlijichelewesha Wenyewe Kwa Siasa za Majitaka

    "jimbo hiri harienderei kwasababu mmechagua wapinzani.....haya sasa mmeshinda kote" Mbona bado umeme unakatika
  9. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutambua simu fake bila kuumiza kichwa

    Pale unapouza kila kitu chako ili ununue iphone
  10. CK Allan

    JamiiForums Tanzania NIONAVYO: Michezo ya ligi NBC baadhi kuchezewa Amani stadium, Bodi ya ligi sio wa kulaumiwa:

    Bei ya kiingilio anapanga nani? Utajua
  11. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Hadithi: Viumbe Hatari (Dangerous Creatures)

    Wakuu niliwaambia mchawi bando tuu
  12. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Hadithi: Viumbe Hatari (Dangerous Creatures)

    11 “ kama mpo tayari basi tunaweza kuondoka nadhani mama mtu atakuwa anasubiri kwa hamu huko” alisema yule mama ambaye wakati wote alikuwa kimya. “Sisi tumefurahi kumuona baba mzazi wa Angel” isaka hatimaye alisema. Ilibidi nisogee pembeni na Angel ili kujua ratiba zikoje maana tayari hali...
  13. CK Allan

    JamiiForums Tanzania Aviator ni utapeli, wacheza kamari shitukeni

    Vuuuuuum FLEW AWAY.... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom