mfano mama angalia matokea ya form 4 yalipoanza kuwa mabaya,serikali hii ikaona bora ishushe division ndio wataokoa jahazi,kumbe hawakuwa na fikra za mbali,kuwa ndio wanazidi kuuwa taifa la baadae,na niserikali hihii ya ccm, sasa hapo nikuwadanganya watanzania kuwa wanaelimu kumbe mnazidi kuuwa...