Recent content by city bookstore

  1. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Kaka Mungu ni mwema naona ananiepusha na mengi ngoja tuone maisha yatakavyokua ila sasa Sina mpango wa kuendelea na hatua yotote bora nikae nitulie
  2. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Ndio man 😂
  3. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Daaah mwanangu mimi full vioja acha tu man sema naona nikiandika yote ntakua nimeshindwa kuwa na kifua cha kiume😂 Ila kwaajili ya afya ya akili mimi nimesitisha zoezi rasmi pesa ya mahali ntakula mwenyewe
  4. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Kaka bora usome tu mimi kuna vioja hatari kwanza kaniambia hampendi sister wangu na anamchukia
  5. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Boss mimi ilitakiwa nipeleke "mahali" mwezi ulio pita niliwapa taarifa ukweni j4 kwamba j2 nakuja kutoa walicho hitaji Jibu lao subiri tujiandae hadi week ijayo yaani j2 inayofuata Nilijikuta nafsi inapata amani ghafla najiskia uhuru Sijaenda tena na sijui nitakwenda lini
  6. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Kama hujawa na uwezo wa kununua Gari, Acha ubishi wa kijinga Nunua hata Piki piki utanishukuru

    Hatari Boss mnaponda sana unyama huu umewahi iona wapi ikiwaka mimi hii ipo tangu 2021
  7. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Kama hujawa na uwezo wa kununua Gari, Acha ubishi wa kijinga Nunua hata Piki piki utanishukuru

    Namuunga mkono mtoa maada Nauza gari zangu Sina dalali Nissan dualis 8.5m na SUZUKI VITARA 5.8 0753123384
  8. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kijana wa miaka 30+ kukosa nyumba, gari na kipato cha kueleweka

    Usidharau wasio nacho mkuu maisha yana mambo mengi shukuru Mungu kaa kimya
  9. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Naomba MKOPO WA 13M kwa Mtu Binafsi

    Tuma dm
  10. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Naomba MKOPO WA 13M kwa Mtu Binafsi

    Mwandishi weka mali dhamana hapa Pia ainisha kiwango utakacho rudisha na muda unao tarajia kurudisha Karibu
  11. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Job Opportunity: Full-Time Nanny Wanted

    Kiingereza kingi mshahara wa kipuuzi
  12. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Faida za kuhama mtaa baada ya kuanza kupata mafanikio

    Itawezekana tu😂😂 unakua huonekani kwenye matukio wala taarifa zako zisijulikane
  13. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Faida za kuhama mtaa baada ya kuanza kupata mafanikio

    Oyaaa kuna mdogo wangu nilie mpenda kwa moyo mmoja ila amekua kichefuchefu kisa mali ya urithi Natamani nimwache na mambo yake ajisimamie mwenyewe...
  14. city bookstore

    JamiiForums Tanzania Faida za kuhama mtaa baada ya kuanza kupata mafanikio

    Mkimaliza kuhama mitaa mtuelekeze namna ya kuhama ukoo/undugu
  15. city bookstore

    JamiiForums Tanzania T-Shirts: Gwajimarize Tzii or Gwajimarize Tanganyika

    Gwajimanization Logo weka mkono umekunja ngumi inatazama juu na mkono uwe na rangi ya bendera ya taifa Nipewe zawadi ya t shirt moja nyeusi kama wazo langu litatendewa kazi
Back
Top Bottom