Recent content by CIRDRAH

  1. C

    Ajinyonga baada ya kufeli mtihani wa kidato cha nne 2014

    Ukitoka pandagichiza unaingia shilabela,unaingia ng`wang`osha then mwamakaranga...kijiji kinachofuata ndo kwetu
  2. C

    Olewa tu

    Daah!!siwezi sema sitapenda tena ila nimejifunza
  3. C

    Olewa tu

    Daaah!!moyo wangu waniuma sana!!ni mwanamke ambae nilimuingiza katika ulimwengu wa maraha na kiukweli nilimpenda sana!!hapa katikati kulitokea mtafaruku baina yetu..!!hata mwezi mmoja haujapita juzi kalipiwa mahari!!BADO SIAMINI ILA NDO ISHATOKEA....
  4. C

    Lazima utoke jasho, kisha upate

    Kweli kabsa kaka
  5. C

    Thamani ya mwanamke

    Kiukweli thamani ya mwanamke ni akili yake na ujuzi wa kupambanua mambo!!ukubali ama ukatae...mwanamke ndo msingi wa mafanikio katika familia.kwa uchunguzi wangu..masistaa katika mahusiano huwa hawana mipango na malengo zaidi ya kupenda starehe...wife material wengi ni wanawake...
  6. C

    Siku ya kwanza ulipoambiwa na mpenzi wako mimi na wewe basi ulijisikiaje?

    Daah!!sikuamini kwa sababu alinitumia sms fb!!daah nilipokuja kuamini niliumia sana kwa sababu ni mwanamke aliyenipenda kwa dhati na alinivumilia sana kwa tabia zangu!!alinifumania mara nne akanisamehe!!nilipendwa ila sikupendeka...daah!!DIAMOND kanitungia NTAMPATA WAPI
  7. C

    Msanii mkali mpya toka Arusha huyu hapa

    Ingia..www.vmgafrica.com.kuipata nyimbo hii
  8. C

    Msanii mkali mpya toka Arusha huyu hapa

    Anaitwa sudyson...katoa ngoma inaitwa AMENISAMEHE..!!kuipata ngoma hii...ingia..VMG Africa.
  9. C

    Stephen Wassira: Kada mkongwe wa CCM asiye na kashfa

    Wassira ni mmoja kati ya waanzilishi wa CHADEMA!!na alimkimbia the late JK NYERERE...nchini
  10. C

    Mwanamke wa makamo anahitajika

    Mapenzi ni sanaa na kila mtu ana ulevi wake katika mapenzi.kwa dhati toka moyoni mimi hupenda sana kudate na wanawake watu wazima!!hivyo basi kwa mwanamke yoyote wa makamo anayeishi MOSHI AU ARUSHA aliyetayari kudate na mm anicheki cirdrahric@gmail.com au 0762420443.ukimwi tutapima!!LOVE IS...
  11. C

    Muelezee the late henry mnyeshi limihagati

    Hayati Henry limihagati alikuwa mbunge wa jimbo la solwa na anaaminika kuwa mbunge bora wa muda wote katika jimbo hilo!!kama una lolote juu yake hebu tushirikishe wanaJF...
Back
Top Bottom