UKAWA tunahitaji kusherehekea ushindi uwanja wa taifa - dsm

UKAWA tunahitaji kusherehekea ushindi uwanja wa taifa - dsm

samaki2011

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2013
Posts
1,775
Reaction score
469
Wadau kutokana na ushindi munono kabisa tulioupata kwa kuwatokomeza wale wala rushwa, majizi ya mali za umma, wabakaji wa demokrasia, n.k sasa ni wakati muafaka wa kusherehekea ushindi wetu, juhudi tulizofanya ni kubwa mno kwanza kujiandikisha, kupiga kura na kulinda kura zetu usiku kucha bila kuchoka.

Kabla hatujaanza ile kazi ngumu ya 2015, niwaombe viongozi wa UKAWA watukutanishe pale Uwanja wa Taifa kwa sherehe ya ushindi.

Ktk sherehe hiyo tutahitaji mziki mnene na mzito, tule, tunywe na tucheze hadi majogoo. Tukitoka hapo tunaanza kazi ya kushambulia vijijini na mijini. Niko kikazi DRC ila siku hiyo lazima nitie timu

CC. 1. Slaa, Lipumba, Mbatia na viongozi wote wa ukawa

2. Vijana wote wa lumumba
 
merci merci nisalimie shemeji zako Tshala Muana na Yondo sister.
 
Je makamanda si tunahitaji mkutano mkuu wa ukawa jangwani?
 
Sherehekeeni kabisa kwa kuwa ni ushindi mkubwa sana. Sijui ingekuwaje kama kungekuwa na fair play? Bila shaka ungekuwa ni ushindi wa kishindo
 
Poaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
ni wazo zuri. ili UKAWA wakawashukuru wananchi kwa ushindi na pia kuujulisha umma kuwa ushindi uliotangazwa jana wa asilimia hauko vile bali ushindi sahihi ni upi, tena hili lifanyike baada ya J2 kwa kuna maeneo watu watachagua j2 kuigalagalaza
 
Huko Jangwani wataenda kuongea nini na aibu waliyopata kwenye uchaguzi?
 
Nadhani ni mapema sana kuita Mkutano Mkuu sasa hivi! Utakuwa na maana zaidi kama utafanyika baada ya marudio ya uchaguzi kukamilika (sehemu zilizoahirishiwa uchaguzi). Vinginevyo hakutakuwa na tofauti kati ya UKAWA na Nape aka MC (Msema Chochote).
 
ni wazo zuri. ili UKAWA wakawashukuru wananchi kwa ushindi na pia kuujulisha umma kuwa ushindi uliotangazwa jana wa asilimia hauko vile bali ushindi sahihi ni upi, tena hili lifanyike baada ya J2 kwa kuna maeneo watu watachagua j2 kuigalagalaza
Si mbaya. Ukipata kidogo ushukuru tofauti na kukosa kabisa
 
Nadhani ni mapema sana kuita Mkutano Mkuu sasa hivi! Utakuwa na maana zaidi kama utafanyika baada ya marudio ya uchaguzi kukamilika (sehemu zilizoahirishiwa uchaguzi). Vinginevyo hakutakuwa na tofauti kati ya UKAWA na Nape aka MC (Msema Chochote).
Hahahahahaaaaaa! Huko kulikobaki nako mtapigwa kama mmesimama
 
Huko Jangwani wataenda kuongea nini na aibu waliyopata kwenye uchaguzi?


mkuu ukiwa na maembe kumi then akaja mtu akawa hapa embe hata moja then akakufuata kwa hatua ishirini na mbili ukachoka ukaangusha maembe 4 yeye akaiokota sasa nani amefaidika au ni nani mwenye furaha hapo
 
merci merci nisalimie shemeji zako Tshala Muana na Yondo sister.

ha ha ha haa wamezipata mkuu, huku watz wana furaha sana isiyo na kifani utadhani ndo tumesharudisha nchi toka kwa wakoloni weusi
 
Wewe Lizaboni (Tezi Dume), unafuatilia matokeo ya chaguzi za marudio kweli? Unajua kilichotokea kwenye Ofisi zenu za Chukua Chako Mapema (CCM) mkoani Iringa? Tafakari, Chukua hatua!
 
Niko kidogo nyuma kwenye suala la kuhabarishwa inapokuja hili suala la huu uchaguzi, hivi matokeo RASMI yameshatangazwa?
 
Back
Top Bottom