Inasikitisha sana
hizo bangi unazovuta wala sio nzuri.
Ficha huo ujinga wako muda mwingine
panyaroad wanagawa ajira asingekosa dogo
huyo nae mjinga mbona jk amefeli awamu zake zote za urahisi na bado akiamka anaangalia ramani ya dunia wapi pa kwenda!
Ndipo mwisho wa akili yake ulipofikia, ooh poor John.
Mimi nacheka tu, nakuwangalia watu njisi wanavyohaha.
wewe ulimaliza mwaka gani mkuu?
uliikuta division 5 kweli?
Ukitoka pandagichiza unaingia shilabela,unaingia ng`wang`osha then mwamakaranga...kijiji kinachofuata ndo kwetu