Recent content by Cipher op

  1. Cipher op

    Aiseee!!!! Dar kuna matapeli

    Sitasahau nilipouziwa kipande cha UDONGO kwa tsh 60000/= kariakoo badala ya Nokia N70...ilikuwa mwaka 2010 😂😂😂
  2. Cipher op

    List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

    Nasikiliza sana ngoma za harmonize kajamaa kana uandishi flan hivi amazing
  3. Cipher op

    Matukio ya Ushoga duniani

    [emoji3][emoji3] hata mm nawatamani sana kuna mmoja nishawahi kukutana naye nikampelekea moto [emoji91][emoji91] huwezi amini sasa hivi ananitafuta mwenyewe zikimpanda
  4. Cipher op

    Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

    LGBT wanatifuana leo
  5. Cipher op

    Wamiliki wengi wa majokofu/friji wanauelewa mdogo juu ya utendaji kazi wake

    Shukrani kwa somo zuri..nina deep freezer nilinunua mwezi wa tatu ni (jipya kutoka dukani )..toka mwezi wa tatu mwaka huu 22 toka nimelinunua mpaka mwezi wa 11 mwanzoni lilikuwa linafanya kazi vizuri kabisa maana nalitumia kwenye biashara ya barafu na ice cream shida imeanza toka wiki iliyopita...
  6. Cipher op

    FT: KMC 2-1 Azam, Samaleko Azam FC

    Azam halisi na azam jinsi inavyokuzwa na media[emoji116]
  7. Cipher op

    Nahitaji mke

    Mimi ni mwanaume Umri wangu ni miaka 33 Mwajiriwa serikalini Nahitaji mke Vigezo.. 1.Umri..30 kushuka chini 2.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 3.Dini awe mkristo ##Mengineyo tukikutana tutayaongea
  8. Cipher op

    Bajeti yako kwa siku ni shilingi ngapi kwa wewe mwenye familia?

    Naacha 300000/= ya mwezi mzima hapo nakua nimenunua vitu vifuatavyo Mkaa kiroba kikubwa=45000 Mafuta ya kupikia lita 5@=37000 Mchele kilo 30@2200=66000 Unga dona kilo 20@1500=30000 Gesi mtungi mkubwa kila baada ya miezi miwili =53000 Kingamuzi=23000 Umeme=50000 Maji=10000 Sukari kilo...
  9. Cipher op

    Njaa haina adabu, uliwahi kukamatwa na njaa kisawa sawa na uliituliza vipi ?

    Nilikula mahindi makavu kama vile nakula karanga...msoto wa jkt sio poa
  10. Cipher op

    Makali ya tozo: Leo nimekatwa kama elfu 60 kwenye bank account yangu

    Nilikuwa na tsh 52000/= nmb juzi kucheki nakuta wamelamba kama tsh 18000/= ikanibidi niwatumie sms kwenye e mail yao maana simu yao hawapokei . Niliwaandikia maneno makali aisee[emoji3][emoji3]leo kucheki tena salio nakuta wamerudisha tsh 10000/= HAWA MABENK WANAPITIA HUMO HUMO KWENYE TOZO KUTUPIGA
  11. Cipher op

    Mimi Mars: The Most Underrated Tanzanian Female Arstist

    Kuna ngoma yake inaitwa shuga.. namkubali sana huyo manzi
Back
Top Bottom