yaani sio hapo tu kuna chuo kimoja kinaitwa st.joseph university in tanzania-arusha campus nacho kina hiyo programme ya miaka mitano nao waliomba mikopo cha ajabu na cha kushangaza majina yalitoka ya watu 3 tu na waliobakia wamehoji hilo suala wanachojibiwa ni kwama hawana haki ya kuuliza chochote
Mimi naona 3 ndio zinafaa na zitakuwa zimebalance kwa maana kwamba zanzibar watakuwa na serikali yao tanganyika hivyohivyo ma kutakuwa na serikali moja itakayowakilisha pande zote. Kukiwepo na tatu mzozo wa muungano utakufa kwasababu kila serikali utakufa na nafasi ya kuiwakilisha kwenye...
Unajuwa jeshin matusi ni kama lugha ya kawaida na wala siishangai kwa maana nina uzoefu huo nilikuwa kambini na matusi yalikuwa kama wimbo tu ndio maana nasema ni bora matusi kwenye kambi ya jeshi ukitukana unaonekana umeiva jeshini
Nazani ni depression kaqtika maisha ndio zimemfanya atende jambo kama hilo ijapokuwa kashatenda kosa kubwa kama hilo la mauaji lakini ningeona bora wampeleke kwa hawa pyscologist (counselor) wamshauri na wandadisi kujua chanzo nini kwamaana katika hali ya kawaida mtu hawezi kufanya hivyo labda...
Mi naona wangetoka bungeni sisi wananchi wenyewe wenye uchungu na taifa tukaijadili hiyo katiba kwani hata sisi tuna utashi kama wao na tuna uwezo wakuijadili hiyo katiba wasizani wao kwa vile tumewachagua basi wao ndio wao hapana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.