Nadhan nimezaliwa nalo, nilipoenda hosp nilipewa miwan ila nackia ukiendekeza miwan macho yanaharibika, ivo siivai, nlitaka nipate njia mbadala nipunguze/ kuondokana na ili tatizo
Mwanamke ameumbwa na aibu, hasa wale walofundwa wakafundika ndo maana anafumba macho, ndo maana ata akiongea na wakweze anaangalia chini, vilevile ata babake hawez mwangalia machon
Heri ya mwakampya wapendwa! jaman nnatatizo la kuona mbal lkn sipendi kuvaa miwani ya kunisaidia, nfanyeje ili niweze kuona vema bila miwan? SIKUKUU NJEMA NYOTE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.