Recent content by Chuo99

  1. C

    Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

    Wizara ya Fedha haswa kwa nchi masikini kama nchi yetu Tanzaniainahitaji mtu mzoefu, mchapa kazi, na mwenye elimu ya kutosha, Prof ana mashaka na waliopewa wizara hiyo, Kawanini asiongee akiwa kama msomi na mweledi/mjuzi + na elimu yake, kwani mbona nchi nyengine zinamtumia na zinafanikiwa...
  2. C

    Lissu awasha moto Mto wa Mbu wilayani Monduli

    Asante sana Kamanda Lissu, kazi kubwa ni kuelimisha na kuhamasisha watu kuwa wao sio masikini, bali viongozi wao wanawavika umasikini.
  3. C

    Msichana wa umbo gani yuko vizuri kitandani?

    Wadau nisaidieni kwa hili, mrefu, mfupi, mnene, mwembamba, mwenye hips, asie na hips, mwenye nyonga kubwa, asie na nyonga kubwa/..ndogo, mwenye big boobs, big buttocks e.t.c,,,,, ni yupi kati ya wenye sifa hizo zilizotajwa ni mtam na yuko vizuri kitandani?????
  4. C

    Siwezi kutongoza...

    "tongoza ela kwanza, ukiweza kuzipataumemaliza kla kitu...."
  5. C

    NATAFUTA KAZI YOYOTE YA PART TIME MKOA WA ARUSHA ndugu zangu jf

    Mimi mwanafunz wa mwakka wa pili IAA, nasoma Bachelor degeree in Procurement and Logistics Management. Ratiba yangu ya masomo ina gaps kiasi cha kwamba mda mwingi nakaa idle pasi na shughuli yoyote ya kufanya pia at the same time uchumi unakaba, naowaomba ndugu zangu wa JF mnisaidie kuni...
  6. C

    Jamani, tushauriane ajira hazipatikani

    Mwalimu J.k Nyerere aliuweka mfumo wa elimu ya Tanzania kwa wasomi kuwa ni wa kutegemea AJIRA/KUAJIRIWA kwa niaba ya kupata wataalamu kuendesha mashirika mbalimbali ya Umma, kwanini kwasasa inakua ngumu kuubadili mfumo huu ili wasomi wasitegemee sana kuajiriwa na badala yake kujishughulisha...
  7. C

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Hongera kamanda, mimi ningependa point no.8 ingekuwa ya kwanza kwa kuonyesha msisitizo na umuhimu wa point hiyo, Coz unaweza ukasoma na kujiajiri mwenyewe bila kuajiriwa maisha yako yote na ukafanya wonders kuliko anaekimbilia kuajiriwa .... Tunafaa wasomi wa Tz tuishi kwa commitment,,,,
  8. C

    Mh.tundu lisu katika uzinduzi wa chaso mkoa wa arusha hapo jana

    Ccm watu wameichoka, ila chadema haijajipanga, jitihada inabidi zifanyike.....
  9. C

    Mh.tundu lisu katika uzinduzi wa chaso mkoa wa arusha hapo jana

    kitu gani kinachokufnya usiamini?
  10. C

    Top countries with highest HIV/AIDS infections

    African countries zipo nyuma sana kwenye huduma za afya, especially disease control and prevention, na utoaji elimu, inabidi jitihada zifanyike kusaidia nchi zetu zakiafrica ...
  11. C

    Ukubwa wa tatizo la kupiga puli "masturbation": Kwa wanaume tu!

    Duniani idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume, inakuaje mpaka unashindwa japo kua na mmoja na kutumia njia isiyo sahii''puli''?
  12. C

    mabasi ya mwendo kasi haya hapa

    Haahahah, yaan kama watoto wadogo jinsi viongoz wanavowafanya wananchi wao
Back
Top Bottom