Top countries with highest HIV/AIDS infections

Tukana utakavyotukana,hayo ni maneno tu,hunijui sikujui,mnapractice ngono zembe mnategemea nini?mmekuwa wapenda ngono utafikiri ndo uhai wenu,no wonder BOTHA aliwaambia kazi yenu ni kupenda ngono na masherehe,UKIMWI NDO KIBOKO YENU
Victoire
===>Muombe sana mungu akunusuru na ugonjwa huu,unaweza ukabana,ukawa mwaminifu kwenye ndoa yako ila mwenzako akanaswa kwenye tundu bovu ambapo sidhani kama akirudi nyumbani mtafanya mapenzi na kondomu,muombe mungu akunusuru na usiuhukumu hata siku moja kwenye hii ishu ya UKIMWI.
 
Last edited by a moderator:
Hizi ni absolute numbers au point prevalence? Maana sasa tuna ARVs kibao na hivyo wagonjwa wa HIV wanaishi miaka mingi zaidi. Muacheni huyo Victoire nadhani ana mania huyo.
 
Last edited by a moderator:
African countries zipo nyuma sana kwenye huduma za afya, especially disease control and prevention, na utoaji elimu, inabidi jitihada zifanyike kusaidia nchi zetu zakiafrica ...
 
Tukana utakavyotukana,hayo ni maneno tu,hunijui sikujui,mnapractice ngono zembe mnategemea nini?mmekuwa wapenda ngono utafikiri ndo uhai wenu,no wonder BOTHA aliwaambia kazi yenu ni kupenda ngono na masherehe,UKIMWI NDO KIBOKO YENU
Pengine mwenzetu una jinsia zote ambazo ni active kiasi kwamba unamaliza hamu zote wewe mwenyewe ndio maana wasema hivyo. Vinginevyo unakosea kumbuka usemi "Kulala kwa nje mwenye kupata ajali hajulikani".
 
Hizi ni absolute numbers au point prevalence? Maana sasa tuna ARVs kibao na hivyo wagonjwa wa HIV wanaishi miaka mingi zaidi. Muacheni huyo Victoire nadhani ana mania huyo.
ARV zinapungunza makali ya ugonjwa wa ukimwi,na wala hazizuii maambikizi.for me zimezidisha maambukizi wengi wanaonekana wanene wa afya wanatumia huo uafya wao kuambukiza wengine kwa makusudi.ARV ZIMEPUNGUZA MAKALI KWA WAGONJWA,ZIMEONGEZA MAAMBUKIZI
 
Dah! Ngono Zembe zitatumaliza!
...
Wadau ktk hiyo takwimu ya Tz ningependa kujua Tanzania bara ni % ngapi na Tanzania visiwani (Zanzibar) ni % ngapi.
 
Wapenda kuvua boxa,na vyupi lazima mfe kwa ngoma,na hivi hata ndomu hamujui kutumia,kufeni tu mtuachie ajira,maana vijana wengi hawana ajira,I WISH ARV ZISINGEKUWEPO[/QUO
Unaishi dunia yako peke yako iaseee....,!!!!angalia wa kwanza huwa wa na mwisho huwa wa .....
 
Mkuu na wewe umekosea hapo,umesahau kwamba ni population sample ndio inayotumika kwenye calculations sio population yote. In this case demographic population ndio inatumika, mfano age group au sex.
Hata ukitumia population sample,bado utapaswa kutumia same population kwenye nchi zote,baada ya hapo unaleta percents... hizi namba ni misleading mnooo!!!!
 
ARV zinapungunza makali ya ugonjwa wa ukimwi,na wala hazizuii maambikizi.for me zimezidisha maambukizi wengi wanaonekana wanene wa afya wanatumia huo uafya wao kuambukiza wengine kwa makusudi.ARV ZIMEPUNGUZA MAKALI KWA WAGONJWA,ZIMEONGEZA MAAMBUKIZI
Mkuu una uhakika na unachokisema ama ?! Anyway ARVs zinafanya zaidi ya hicho ambacho ubongo wako unaweza kufikiri.
 
Hizi takwimu zina utata mkubwa. 1. Miaka ya kukusanya na kuandaa taarifa, uwiano wa vigezo i.e kungine inazungumzia idadi ya wagojwa, kungine wasiokuwa na uelewa, kungine idadi ya gharama, asilimia ya wagonjwa kadiri ya jinsia, .....
UKIMWI upo, ni hatari kwa mustakabali wa jamii.
 
mmepiga kelele,UKIMWI kwa asilimia kubwa unatokana na uasherati,narudia tena I WISH ARV Zisingekuwepo.

Endelea kuwa na kiburi,na kwa taarifa yako tunakufahamu nje ndani,na basha lako tunakuaga nalo pale Kimboka kutafuta wale wa bei rahisi so jiandae,time will tell!
 
Back
Top Bottom