King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 63,151
- 95,873
Utamu wa chips?? Are you serious?
Tatizo ni hii nyomi ya bongo yatawezeza kuzidisha mzigo zaidi ya mara 5? Maana tumeishashuhudia kama hayo yakibuma baada ya muda mfupi sana. Yalikuepo ya mbagala na segerea sasahivi wamepaki.
Yaani kama umemaliza kucheck-out, sasa umetoka nje pale Amsterdam Schiphol unasubiria basi la kukupeleka Amstelveeen
Hawa jamaa wangeleta package ya mega ride wangetusaidia sana. Unakata ticket ya miezi 6 ama mwaka mzima you keep riding.
Kila la kheri. Maintainance ya project ndo wasiwasi wangu.
Mbona kama ni used, hayo maandishi hapo mbele juu inonesha lilikuwa linamilikiwa na Hotel.
MAN~ Maschinebau Aus Nuerberg= Mechanical Engineering from Nuernberg hiyo no baba lao Germany.
Yetu macho, wazee wakuchakachua wapo tayari.Hii ni bongo baab vipi?
Haya mabasu ni mazui sana uswiss, italy na baadhi ya sehemu za ujerumani wanatumia kama haya
Hili basi ni la majaribio wadau, mabasi madogo yatakua kama haya, na mengine makubwa ya kubeba abiria zaiadi ya 150, hilo basi unaloliona litakua linakusanya watu na kuwaleta vituo vilivyopo morogoro road ili wapande mabasi makubwa.Mbona kama ni used, hayo maandishi hapo mbele juu inonesha lilikuwa linamilikiwa na Hotel.