Recent content by chumvichumvi

  1. chumvichumvi

    Human Resource Officer Uregntly needed before 2nd September 15:00Hours

    Hello we need Human Resource Officer All can apply Preferable female Knowledge in law will be an added advantage Place of work Zanzibar Qualification either certificate, Diploma or Degree in Human Resource or relevant academic qualifications Experience 0 onwards Please send your CV and all other...
  2. chumvichumvi

    Bio-medical engineer

    Hello naitaji bio-medical engineer Sehemu ya kazi Zanzibar Part-time Full time Tafadhali mwenye interest ahe inbox Mwisho 25th August 2024
  3. chumvichumvi

    Mwenye connection na kampuni au viwanda vinavyozalisha sukari hapa Tanzania nipeni nipeleke miwa yangu

    Kwema wana jamvini. Nimelima miwa ya sukari kampuni niliyokuwa naitegemea wameyumba kibiashara. Naombeni msaada kwa mwenye connection na kampuni au viwanda vinavyozalisha sukari hapa Tanzania nijaribu bahati yangu.
  4. chumvichumvi

    Kwa nini iwe hivi katika dini hizi mbili uislam na ukristo??

    Issue ni mapokeo na tamaduni ila kihistoria haswa kwa ukirsto dini hiyo ilianzia Africa na kuenea sehemu zingine za dunia kuna kitabu kinaitwa "We don't want your white Religion" kimeandikwa na Dr. Bruce Britten ukipata nakala kitakusaidia sana
  5. chumvichumvi

    The Four magical Elements Water,Air,Earth and Fire

    Input is not sufficient as per the topic
  6. chumvichumvi

    The brutal words of "Richard Smith", famous British guitarist, during an interview...

    Do you have the article with you if yes please send as pdf if not put the link where it can be trace
  7. chumvichumvi

    Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

    Jambo hili huwa inategemea na shughuli huskika kwa mfano shughuli za SMZ zote zipo chini ya Raisi wa SMZ ila shughuli zote za Jamhuri Raisi wa JMT ndio boss ila ki-ujumla Raisi wa JMT ndio boss akifutiwa na Makamu wake sababu JMT ndio yenye Tanganyika na Zanzibar
  8. chumvichumvi

    Hakutawahi kutokea Tanzania Rais kama Mzee Kikwete

    JK na JK ndio huwa wanakumbukwa zaidi walijua zama zao zilikuwa zinaitaji nini
  9. chumvichumvi

    Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aliyoitoa jana Aprili 11, 2021

    Thoughtful Sent from my SM-N915F using JamiiForums mobile app
  10. chumvichumvi

    Hivi kuna siri gani askari yeyote akiua huko mbeleni hako mbeleni haji kusumbuliwa na mizimu kama raia wa kawaida

    Wana wa nchi tusaidiane kwenye hili Sent from my SM-N915F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom