Recent content by chuma cha mjerumani

  1. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wazanzibar wote tulishikana katika Uchaguzi, ndio maana ikapandisha ushindi hadi 97%

    Duh anapenda watu wawe magaidi avunje record ya kukamata magaidi wengi. Kwaiyoo anaimini alishinda 97% Tanzania bora nilihama.
  2. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Nyie watoto wa 90 mnautoto mwingi.
  3. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Pumzika ustazi U.S.A sio Tanganyika. Wewe swali shukuru Alah amekulinda unapumua.
  4. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Video mtoto mdogo akipigana na mama yake, wazi chapa kavukavu

    Hapoo sijaona sehemu wanapigana naona mtoto ndo anapigwa kikatili.
  5. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Hongereni sana TFF kwa kuja na hii Kanuni Kali na niliyoipenda sana dhidi ya Waandishi / Watangazaji Wachambuzi na Wachambuzi Uchwara wa Michezo

    Kuna kadogo kamoja nilikaona kwenye mitandao kana miaka kama 5-7 kanachambua timu ya man city mpaka unahisi timu anaimiliki yeye. Sasa karia dunia ya sasa mavyeti sio big deal.
  6. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Katibu Baraza la Wazee CHADEMA: Tulipanga kuandamana ili Heche atupishe, Msajili ingilia kati

    Ccm kwelii imejaa matahira na propagrand za kitoto na za kukera.
  7. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Iran, wamesema nchi yoyote itakayokubali pendekezo la Trump, kuchukua pesa za Iran itapigwa marufuku kabisa kupitia Mlango-Bahari wa Hormuz

    Ustazi unateseka U.S.A atabaki U.S.A kiranja wa Dunia. Nyie ndo mnawaponza viongozi wenu wakidini wanakufa kama kuku.
  8. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Nakuhakikishieni, nikikukuta una mke wangu mnasex, ni eidher nikupige, Mke wangu ni wangu pekee

    Badoo hajakua vizuri. Kama mwanamke ndo tabia yake atapiga wangapi?
  9. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Full Time | Jamus SC 0 - 0 Simba SC | CECAFA Kagame Cup | Kigali Pele Stadium

    Kwaiyoo matokeo ngapi ngapi?
  10. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Shinyanga: Viongozi wengine Wawili wa CHADEMA washtakiwa kwa Ugaidi

    Tanzania imevunja record toka dunia kuumbwa kukamata magaidi zaidi ya 50 ndani ya miezi miwili. Serekali angalieni mnaichafua Tanzania.
  11. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Wazungu washakuharibu na ndo lengo Lao.
  12. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Nape: Ukiachwa na basi usilalamike inawezekana linaenda kupata ajali

    Huyuu hana lolote bao la mkono mpaka kuja kuwa muhenga wakuanzisha vimisemo. Akae kwa kutulia. Hakuna CCM wakuonea huruma.
  13. chuma cha mjerumani

    JamiiForums Tanzania Mbio za CHADEMA 334 (CHADEMA Marathon 334)Shiriki sasa! Hujachelewa

    Safii sanaa tuendelee kuchangia.
Back
Top Bottom