Recent content by chuma cha mjerumani

  1. chuma cha mjerumani

    Mkumbusheni mwamba wa Lusaka (Chama) kuwa juisi za wachezaji wa Al Ahly zimekuja kwa idadi hakuna Shea yake

    chama alichoka matapu tapu ya mo ndo maana akataka juisi za uarabuni
  2. chuma cha mjerumani

    Utabiri: Baada ya saa 21:00 zitasikika kelele za hutamtaki mangungu

    galaxy wameapa hawatatoka wenyewe. lazima watoke mtu.
  3. chuma cha mjerumani

    Mambo 10 niliyoyaona leo Al Ahly vs Yanga

    yanga anabebwa ata alivyompiga simba 5 alibebwa alimpiga simba mkono kwasababu simba ni dhaifu.
  4. chuma cha mjerumani

    Siasa ilimfanya Mchungaji Gwajima kuwa muongo

    umesahau mpaka kuiba kura alishiriki.
  5. chuma cha mjerumani

    TANESCO: Watu kukaa nyumbani kipindi cha likizo chanzo cha umeme kuisha haraka

    kuongoza Tanzania ata ukiwa tahira unaweza kuongoza waTanzania sisi ni mazezeta kwa kweli. majibu gani hayoo Tanesco wanatoa kweli tuna safari ndefu.
  6. chuma cha mjerumani

    Vigogo watano Polisi Arusha mbaroni kwa rushwa ya Milioni 10,mmoja ashikwa na presha aanguka akihojiwa na tume ya IGP

    kuna ???? maswali mengi sanaa. Askari Arusha wanakula na wauza mirungi na bangi sanaa. hao kuna waliokamatwa kuna sehemu wamekosea.
  7. chuma cha mjerumani

    Kwanini mauaji yamezidi kuongezeka nchini?

    haipendezi kusikia watu wanatamka hadharani kwamba hakuna serikali kuna jamaa alicomment mahali kwamba Tz hatuna rais. sijui alikuwa anafikiria nini.
  8. chuma cha mjerumani

    Kupiga Punyeto ni kufanya mapenzi ya jinsia moja na pia ni kufanya mapenzi kinyume cha maumbile

    jamaa naona unataka kuhalalisha mapenzi kinyume na maumbile. unamshawishi mpige nyeto yakuwa dhambi ni moja ili ahamie kwenye ufiraji ushindwe.
  9. chuma cha mjerumani

    DOKEZO Polisi tunaomba msaada. Tunahisi dada yetu ameuawa na mume wake ambaye ni Polisi, inasikitisha sana!

    mkuu umetisha yani mmekaa kama makondoo mwaka mzima leo ndo unakumbuka haki. huyoo dada aliekufa huko alipo amewadharau sana mlivyoo màzezeta kushindwa kupigania haki yake akiwa bado hajazikwa
  10. chuma cha mjerumani

    Kati ya Nifah na The Bold, yupi aliyemuacha mwenzake?

    labda alimtongoza huyoo niffa akamkataa kaamua kutoa nyongo.
Back
Top Bottom