Wanachama wa chama cha CHADEMA wilaya ya Bunda mkoani Mara, jana majira ya mchana walipigana katika ofisi ya wilaya ya Bunda mjini hadi kusababisha barabara ya Mtaa wa Benki ya NMB kutopitika hali iliyopelekea mtu mmoja kulazwa baada ya hali yake kuwa mbaya.
Huu ugomvi ulitokana na wafuasi wa...
Hahahaaaaaa, hiyo malaria sasa ni mbaya maana inakufanya ule chakula cha watu ishirini na bado hakikutoshi. Jiandie kuzikwa kipindi cha njaa maana utakufa kutokana na ukosefu wa chakula.
Hata manenge na Mandawa hawakuwa hivyo. Pole sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.