achenii kuwa na akili za vijiwenii..kwanza ivyo sio vifaru kama ujui uliza.izo ni APC na kipindi kama hiki cha uchaguzii ndio kipind kigumu kiusalama coz maadui wa nje na ndanii hutumia sana kipind hki kama njia ya kufanya hujuma na mashambulizi..na uko mtwara ni mpakani mwa nchi hivyo lqzima...
kwelii kama kuna awa jamaa wanatuma email eti umeshinda usd 2 ml from T mobile company from usa.wanataka uwatumie mil 1na elfu 40 as custom charge ya izo ela wanazokuleta n they insst ukae hom uwasubir after sendng dat money m niliwakazia ad wakujua apa wameingia cha kikee...
uku hoteli ziko nyingi kuna ambazo ziko nje ya mji yaani wanaita shamba.mf la gema hoteli na ambazo ziko katikat ya mji apa forodhani na maeneo mengne mf..serena hotel..karibu zenji bhnaa
dunia ya saiv imebadilika amna vita ya porin kama enz zile za uganda nwadyz maadui wanaweka ngome kwenye miji na sehemu za watu coz nia yao s kuua askari bali n raia.wakuu wa serekali.majengo muhimu etc
ayo ni mazoezi kwaajili ya kujiweka tayari na ni silibas ya kimataifa huwa yanafanyika katika maeneo mbalimbali kulingana na topic yenyew.yapo ya porin mf..jungle patrol base.n mjini ndo kama hayo FiBUA,RAID cloud d sparz.etc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.