Ni aibu kwa jeshi la nchi kupigana na wananchi wake

TAWA

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
3,667
1,566
Kinachoendelea leo katika mikoa ya kusini mwa Tanzania ni aibu kwani ni sawa na jeshi kuwapiga Mkwara wananchi wake.

Leo Mtwara vifaru vya kivita vinapita mitaani utazani bajaji. Wananchi wamejaa hofu wengine wanaogopa hata kupiga kura.

Rai yangu:
Tunajidharailisha jamanj hakuna jeshi linalopigana na watu wake.

Hebu tusubiri hawa wageni ambao ni waangalizi wa kimataifa hata waondoke ndiyo tuendelee na umavimavi wetu tuliouzoea.

Tutajiaikia aibu kujitambulisha kuwa ni watanzania.
 
Kinachoendelea leo katika mikoa ya kusini mwa Tanzania ni aibu kwani ni sawa na jeshi kuwapiga mkwara wananchi wake.
Leo Mtwara vifaru vya kivita vinapita mitaani utazani bajaji. Wananchi wamejaa hofu wengine wanaogopa hata kupiga kura.
Rai yangu:
Tunajidharailisha jamanj hakuna jeshi linalopigana na watu wake. Hebu tusubiri hawa wageni ambao ni waangalizi wa kimataifa hata waondoke ndiyo tuendelee na umavimavi wetu tuliouzoea. Tutajiaikia aibu kujitambulisha kuwa ni watanzania.
Aibu ni kwa nyie wananchi mnao vunja sheria.

Jifunze kulinda sheria na sio kuvunja sheria kisa, umeamrishwa na fulani.
 
Kinachoendelea leo katika mikoa ya kusini mwa Tanzania ni aibu kwani ni sawa na jeshi kuwapiga mkwara wananchi wake.
Leo Mtwara vifaru vya kivita vinapita mitaani utazani bajaji. Wananchi wamejaa hofu wengine wanaogopa hata kupiga kura.
Rai yangu:
Tunajidharailisha jamanj hakuna jeshi linalopigana na watu wake. Hebu tusubiri hawa wageni ambao ni waangalizi wa kimataifa hata waondoke ndiyo tuendelee na umavimavi wetu tuliouzoea. Tutajiaikia aibu kujitambulisha kuwa ni watanzania.

Kwa hiyo nafasi ya kufanya fujo Mtwara hakuna?
 
hauna maarifa ww.shughuli za kijeshi znaendelea kama kawaida,umejaribu kuuliza kwanini vnaenda huko au umekurupuka kutokana na mihemko yako ya kisiasa.fikiri kabla ya kuropoka.au waliwaambia wananwatisha ?

We kaka poa shughuli za kijeshi hazifanyiki barabarani na katika makazi ya watu sawa ha.nithi.
 
Nimeongea na mtu wa mtwara, hii kitu ni kweli. Lkn kimsingi matumizi ya vifaru sio sahihi kbsaaaa, hiyo ni hatua ya juu sana ya matumizi ya jeshi. Sisemi watu wavunje sheria lkn hatujafikia hatua hyo ya kuvunja sheria kwa kutumia vifaru. Mungu atusaidie...!!!
 
Kila kitu kina mahali pake na muda wake. Utekelezaji wa jambo ambapo si muda na mahali pake muafaka unaleta utata.
 
hauna maarifa ww.shughuli za kijeshi znaendelea kama kawaida,umejaribu kuuliza kwanini vnaenda huko au umekurupuka kutokana na mihemko yako ya kisiasa.fikiri kabla ya kuropoka.au waliwaambia wananwatisha ?

Tuambie wewe jeshi limeenda kufanya nini huko? kuna adui kavamia huko Mtwara?
 
Aibu ni kwa nyie wananchi mnao vunja sheria.

Jifunze kulinda sheria na sio kuvunja sheria kisa, umeamrishwa na fulani.
Wananchi hao wa Mtwara wamevunja sheria ipi? na tangu lini uvunjifu wa sheria unaofanywa na raia ukashughulikiwa na jeshi la wananchi badala ya jeshi la polisi? Yaani hata akili kidogo niliyodhani angalau kila mtu anayo wewe imeshayeyuka?
 
Hiyo haijaa vizuri kwani jogging maeneo ya sokoni si sawa. RAIA wanaacha shughuli kwa hofu ya jwtz. hay a mazoezi ni bora yangefanyika asubuhi sana au jioni lakini SAA 5 hiyo ni sifa.
 
Raia mwema yeyote akiona polisi au mjeda anajua apo amani inatawala.
Tofauti na apo lazima utawaogopa tuu
 
ukivunja sheria usipigwe au

Tulime;
Hivi usipochangia unajisikia vibaya?? Hiyo sheria ilovunjwa ni ipi?? Si umwambiye alifanya kosa hili hivyo jeshi likaingia mitaani??
Ni kitu gani kiliwashinda Police mpaka wakaomba msaada wa jeshi na haswa kipindi hiki cha kupiga kura kesho?? CCM msiito akili, kama mnajiamini, kwa nini kutumia vitisho?? Hizo pesa za kuwapo kwa hilo jeshi huko saa hii si mngenunulia hata madawati ya shule?? Halaf utakuta hata shule iliyoko humo jeshini hawana madawati. Nisameheni tu nawaza mwenyewe
 
achenii kuwa na akili za vijiwenii..kwanza ivyo sio vifaru kama ujui uliza.izo ni APC na kipindi kama hiki cha uchaguzii ndio kipind kigumu kiusalama coz maadui wa nje na ndanii hutumia sana kipind hki kama njia ya kufanya hujuma na mashambulizi..na uko mtwara ni mpakani mwa nchi hivyo lqzima uimarishwe kutoka asilimia 25 hadi 100 kukabiriana na lolote litakalojitokeza. .pili wew kama huna mipango mibaya kwanii uogope ulitakiwa ufurahie kwamba jeshi lako linakulinda na kukufanya upige kura ukiwa na uhakika wa ulinzii...sema watanzania wengi tunaongozwa na mawazo finyu na kujifanya kila kitu tunajua..
 
Back
Top Bottom