Mi nawaomba kwa umoja kabisa tuanze kampeni hii ya kukataa kutumia vodacom labda akili itawarejea, haiwezekani sisi kama wateja siri zetu zinatolewa pasipo ruhusa ya mteja na kama haitoshi unafungiwa kupiga simu pasipo kutaarifiwa na kubwa zaidi tabia yao ya kupunguza vifurushi. Tuseme sasa...
Kwa upepo ulivokuwa unaenda na baada ya clip ya jana, Nahisi January angejiuzulu lakn Meko akashtuka akaamua apige bonge la counter attack akamuwahi hili credit ziwe upande wake
Kuagiza mtandaoni raha sana, hii screen protector niliitafuta kariakoo nzima sikuipata nikaagizia aliexpress kwa tsh kama 3000 na ikanichukua kama mwezi kuipata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.