Usenge wa halotel ni kutupangia kutumia 500MB/siku kwenye izo 15GB.
Duh! hapo hatar.Hii sio haki kabisa.....View attachment 1158591
Yaan Hatar sana......3000 unapewa 1.2 GB na 200 smsDuh! hapo hatar.
Bundle la muda gani?Yaani shilingi elfu mbili unapata MB 512, Jamani Jamani vodacom, Halafu sasa ajabu na kweli ni kwamba katika kuwataarifu wateja wao juu ya mabadiliko hayo wametumia maneno ''tumeboresha''.....
Wakuu tupeane ushauri hapa tunahamia wapi... ?
Mimi nahama Voda walahi, ila sijui niende wapi kwenye ahueni ya bando la internet
Mm mwenyewe nahama,nahisi halotel itanifaa kwa muda huuYaani shilingi elfu mbili unapata MB 512, Jamani Jamani vodacom, Halafu sasa ajabu na kweli ni kwamba katika kuwataarifu wateja wao juu ya mabadiliko hayo wametumia maneno ''tumeboresha''.....
Wakuu tupeane ushauri hapa tunahamia wapi... ?
Mimi nahama Voda walahi, ila sijui niende wapi kwenye ahueni ya bando la internet
Hii sio haki kabisa.....View attachment 1158591
Kwenye tigo hii ni laini zile za chuo au hata hizi za kawaida?Tigo kwenye size yako wananipa GB 1 kwa buku siku 7....
Tigo pia cha chuo jero MB 300![]()
Nishaamaga Voda kitambo asee
Hii sio haki kabisa.....View attachment 1158591
Mega bando halotelYaani shilingi elfu mbili unapata MB 512, Jamani Jamani vodacom, Halafu sasa ajabu na kweli ni kwamba katika kuwataarifu wateja wao juu ya mabadiliko hayo wametumia maneno ''tumeboresha''.....
Wakuu tupeane ushauri hapa tunahamia wapi... ?
Mimi nahama Voda walahi, ila sijui niende wapi kwenye ahueni ya bando la internet