-Kasi ya RC Hapi yamtia yamtia hofu ya kung’olewa ubunge 2020
-wivu wamtesa ataka ashirikishwe kuwashughulikia wazembe, Asema RC Hapi anapata sifa peke yake
NA JOANITHA KIWALE
MBUNGE wa Iringa mjini, Peter Msigwa,ameingiwa hofu na kasi ya utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi na...
Na Mesa Mahadhi
SERIKALI ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dk. John Magufuli, kupitia Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ina mpango wa kuzirasimisha Bandari Bubu zote nchini ili kutengeneza mazingira mazuri kwa watu wanaozunguka bandari hizo.
Bandari hizi ni zile zinazopakia na kupakua bidhaa bila...
Waziri Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, amemwagiza Katibu Mkuu wa wizara hiyo kuwaondoa Mratibu wa Miradi na Kaimu Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ualimu kwa kushindwa kusimamia majukumu yao na kusababisha baadhi ya miradi kushindwa kukamilika kwa wakati.
Profesa Ndalichako...
mjadala si mwepesi kama wengi mnavyouchukulia unataka mjadala mpana utakaolenga kuweka maslahi ya taifa letu changa mbele na wala si maslahi ya watu binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.