Mchungaji Peter Msigwa ashikwa pabaya Iringa mjini

Sep 30, 2014
34
25
MSIGWA.jpg

-Kasi ya RC Hapi yamtia yamtia hofu ya kung’olewa ubunge 2020

-wivu wamtesa ataka ashirikishwe kuwashughulikia wazembe, Asema RC Hapi anapata sifa peke yake
NA JOANITHA KIWALE

MBUNGE wa Iringa mjini, Peter Msigwa,ameingiwa hofu na kasi ya utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi na kusema kasi hiyo haiwezi kumtoa katika nafasi yake ya Ubunge mwaka 2020.

Amesema kasi ya Hapi, kuwawajibisha wafanyakazi wazembe imekuwa kubwa na kutaka kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa kile alichoeleza mkuu huyo anataka kujijenga peke yake.

Alisema hata dhana ya mkuu wa mkoa wa Iringa ya kuwataka wananchi wabadilike kifikra na kuwa na maendeleo mapya(dhana iliyopewa jina la Iringa mpya),haikupaswa kutolewa na kiongozi huyo.

Mchungaji Msigwa alitoa kauli hiyo jana mjini Iringa, ikiwa ni siku chache tokea mkuu wa mkoa huo, Ally Hapi,afanye ziara kwa ajili ya kushughulikia kero za wananchi na kutatua.

Kufuatia ziara hiyo ya RC Hapi masuala mbali mbali yaliibuliwa, ikiwa ni pamoja na kubaini uzembe wa baadhi ya watendaji katioka mkoa huo na kuamua wachukuliwe hatua.

Katika mkutano wake wa jana na waandishi wa habari Mchungaji Msigwa, alisema Rc Hapi,amekuwa mkali kwa wafanyakazi wasiotekeleza wajibu wao,tofauti na viongozi waliomtangulia katika nafasi hiyo ndani ya mkoa wa Iringa
.
“Lazima mjue kiongozi wa kweli hufurahi na kupongeza mafanikio ya wengine pasipo kuona gele, pamoja na kwamba mimi ni mbunge kwa tiketi ya Chadema, nimejipambanua wazi wazi kutambua mchango wa viongozi wanaofanya vizuri”alisema Msigwa.

Madai anayolalamikia Msigwa kuwa hakushirikishwa ni pamoja na kitendo cha RC Hapi, kutaka afisa maendeleo wa Iringa asimamishwe kazi, kwa sababu alishindwa kuwapa walemavu wa kusikia, fedha za kushughulikia changamoto zao.

Pia alilalamikia kitendo cha Hapi,kuulizia sababu ya wananchi kutozwa kiasi cha 12800 katika hospitali ya Iaringa ilihali serikali imeshatoa maelekezo juu ya wagonjwa kutokutozwa fedha.

Mchungaji Msigwa katika taarifa yake kwa waandishi hiyo jana alieleza kuwa amekerwa na hatua ya mkuu wa mkoa huo, kumuweka ndani diwani wa viti maalum Chdema,aliyeamuru nyumba ya mwananchi ivunjwe pasipo kuwa na ruhusa ya mipango miji

Miongoni mwa mambo ambayo Msigwa analalamikia ni uamuzi wa mkuu wa mkoa huo, kuzuia madiwani kupewa tenda za halmashauri hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa itakuwa ni vigumu kwao kuhoji ubadhirifu wowote katika miradi hiyo.
 
View attachment 885836
-Kasi ya RC Hapi yamtia yamtia hofu ya kung’olewa ubunge 2020
-wivu wamtesa ataka ashirikishwe kuwashughulikia wazembe, Asema RC Hapi anapata sifa peke yake
NA JOANITHA KIWALE
MBUNGE wa Iringa mjini, Peter Msigwa,ameingiwa hofu na kasi ya utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi na kusema kasi hiyo haiwezi kumtoa katika nafasi yake ya Ubunge mwaka 2020
Amesema kasi ya Hapi, kuwawajibisha wafanyakazi wazembe imekuwa kubwa na kutaka kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa kile alichoeleza mkuu huyo anataka kujijenga peke yake.
Alisema hata dhana ya mkuu wa mkoa wa Iringa ya kuwataka wananchi wabadilike kifikra na kuwa na maendeleo mapya(dhana iliyopewa jina la Iringa mpya),haikupaswa kutolewa na kiongozi huyo
Mchungaji Msigwa alitoa kauli hiyo jana mjini Iringa, ikiwa ni siku chache tokea mkuu wa mkoa huo, Ally Hapi,afanye ziara kwa ajili ya kushughulikia kero za wananchi na kutatua.
Kufuatia ziara hiyo ya RC Hapi masuala mbali mbali yaliibuliwa, ikiwa ni pamoja na kubaini uzembe wa baadhi ya watendaji katioka mkoa huo na kuamua wachukuliwe hatua.
Katika mkutano wake wa jana na waandishi wa habari Mchungaji Msigwa, alisema Rc Hapi,amekuwa mkali kwa wafanyakazi wasiotekeleza wajibu wao,tofauti na viongozi waliomtangulia katika nafasi hiyo ndani ya mkoa wa Iringa.
“Lazima mjue kiongozi wa kweli hufurahi na kupongeza mafanikio ya wengine pasipo kuona gele, pamoja na kwamba mimi ni mbunge kwa tiketi ya Chadema, nimejipambanua wazi wazi kutambua mchango wa viongozi wanaofanya vizuri”alisema Msigwa
Madai anayolalamikia Msigwa kuwa hakushirikishwa ni pamoja na kitendo cha RC Hapi, kutaka afisa maendeleo wa Iringa asimamishwe kazi, kwa sababu alishindwa kuwapa walemavu wa kusikia, fedha za kushughulikia changamoto zao
Pia alilalamikia kitendo cha Hapi,kuulizia sababu ya wananchi kutozwa kiasi cha 12800 katika hospitali ya Iaringa ilihali serikali imeshatoa maelekezo juu ya wagonjwa kutokutozwa fedha.
Mchungaji Msigwa katika taarifa yake kwa waandishi hiyo jana alieleza kuwa amekerwa na hatua ya mkuu wa mkoa huo, kumuweka ndani diwani wa viti maalum Chdema,aliyeamuru nyumba ya mwananchi ivunjwe pasipo kuwa na ruhusa ya mipango miji
Miongoni mwa mambo ambayo Msigwa analalamikia ni uamuzi wa mkuu wa mkoa huo, kuzuia madiwani kupewa tenda za halmashauri hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa itakuwa ni vigumu kwao kuhoji ubadhirifu wowote katika miradi hiyo

Acheni propaganda za kizushi, Tuambie hapi kafanya nini cha maana Iringa toka ateuliwe kuwa mkuu wa mkoa??
 
View attachment 885836
-Kasi ya RC Hapi yamtia yamtia hofu ya kung’olewa ubunge 2020
-wivu wamtesa ataka ashirikishwe kuwashughulikia wazembe, Asema RC Hapi anapata sifa peke yake
NA JOANITHA KIWALE
MBUNGE wa Iringa mjini, Peter Msigwa,ameingiwa hofu na kasi ya utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi na kusema kasi hiyo haiwezi kumtoa katika nafasi yake ya Ubunge mwaka 2020
Amesema kasi ya Hapi, kuwawajibisha wafanyakazi wazembe imekuwa kubwa na kutaka kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa kile alichoeleza mkuu huyo anataka kujijenga peke yake.
Alisema hata dhana ya mkuu wa mkoa wa Iringa ya kuwataka wananchi wabadilike kifikra na kuwa na maendeleo mapya(dhana iliyopewa jina la Iringa mpya),haikupaswa kutolewa na kiongozi huyo
Mchungaji Msigwa alitoa kauli hiyo jana mjini Iringa, ikiwa ni siku chache tokea mkuu wa mkoa huo, Ally Hapi,afanye ziara kwa ajili ya kushughulikia kero za wananchi na kutatua.
Kufuatia ziara hiyo ya RC Hapi masuala mbali mbali yaliibuliwa, ikiwa ni pamoja na kubaini uzembe wa baadhi ya watendaji katioka mkoa huo na kuamua wachukuliwe hatua.
Katika mkutano wake wa jana na waandishi wa habari Mchungaji Msigwa, alisema Rc Hapi,amekuwa mkali kwa wafanyakazi wasiotekeleza wajibu wao,tofauti na viongozi waliomtangulia katika nafasi hiyo ndani ya mkoa wa Iringa.
“Lazima mjue kiongozi wa kweli hufurahi na kupongeza mafanikio ya wengine pasipo kuona gele, pamoja na kwamba mimi ni mbunge kwa tiketi ya Chadema, nimejipambanua wazi wazi kutambua mchango wa viongozi wanaofanya vizuri”alisema Msigwa
Madai anayolalamikia Msigwa kuwa hakushirikishwa ni pamoja na kitendo cha RC Hapi, kutaka afisa maendeleo wa Iringa asimamishwe kazi, kwa sababu alishindwa kuwapa walemavu wa kusikia, fedha za kushughulikia changamoto zao
Pia alilalamikia kitendo cha Hapi,kuulizia sababu ya wananchi kutozwa kiasi cha 12800 katika hospitali ya Iaringa ilihali serikali imeshatoa maelekezo juu ya wagonjwa kutokutozwa fedha.
Mchungaji Msigwa katika taarifa yake kwa waandishi hiyo jana alieleza kuwa amekerwa na hatua ya mkuu wa mkoa huo, kumuweka ndani diwani wa viti maalum Chdema,aliyeamuru nyumba ya mwananchi ivunjwe pasipo kuwa na ruhusa ya mipango miji
Miongoni mwa mambo ambayo Msigwa analalamikia ni uamuzi wa mkuu wa mkoa huo, kuzuia madiwani kupewa tenda za halmashauri hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa itakuwa ni vigumu kwao kuhoji ubadhirifu wowote katika miradi hiyo
Baabaaaaaa Naunga mkono juhudi xa muheshimiwa
Wala sipingi akaaaaaaaaa maana wale watu wale nawaogopa hatari
Naunga mkono juhudi babaaa
 
Akili za CCM wanazijua wenyewe,wanaomba kuungwa mkono na vyama vyote na wanasema maendeleo hayana chama mtu anaomba kushirikishwa katika kuwaajibisha wazembe wanasema kashikwa pambaya utafikri kuna kitu kisichofaa wanachokifanya katika uwajibishaji ambacho hawataki Msigwa akifahamu ili wasijewakaumbuka.
 
Hii nakala niTaka taka kama taka zingine,yaani msigwa amuogope huyo akieshindwa ubunge na mwanadada kule kawe.
kama alishindwa kungoa mdee atamuweza kweki mtumishi wa mungu mchungaji msigwa kweli?
Acheni propaganda bana ,huyo dogo atangukia pua vibaya
 
Mchungaji alishasema yeye sio level ya api ekwanza amefanya mini cha maana? QUOTE="christopher Hermes, post: 28629367, member: 250398"]View attachment 885836
-Kasi ya RC Hapi yamtia yamtia hofu ya kung’olewa ubunge 2020

-wivu wamtesa ataka ashirikishwe kuwashughulikia wazembe, Asema RC Hapi anapata sifa peke yake
NA JOANITHA KIWALE

MBUNGE wa Iringa mjini, Peter Msigwa,ameingiwa hofu na kasi ya utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi na kusema kasi hiyo haiwezi kumtoa katika nafasi yake ya Ubunge mwaka 2020.

Amesema kasi ya Hapi, kuwawajibisha wafanyakazi wazembe imekuwa kubwa na kutaka kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa kile alichoeleza mkuu huyo anataka kujijenga peke yake.

Alisema hata dhana ya mkuu wa mkoa wa Iringa ya kuwataka wananchi wabadilike kifikra na kuwa na maendeleo mapya(dhana iliyopewa jina la Iringa mpya),haikupaswa kutolewa na kiongozi huyo.

Mchungaji Msigwa alitoa kauli hiyo jana mjini Iringa, ikiwa ni siku chache tokea mkuu wa mkoa huo, Ally Hapi,afanye ziara kwa ajili ya kushughulikia kero za wananchi na kutatua.

Kufuatia ziara hiyo ya RC Hapi masuala mbali mbali yaliibuliwa, ikiwa ni pamoja na kubaini uzembe wa baadhi ya watendaji katioka mkoa huo na kuamua wachukuliwe hatua.

Katika mkutano wake wa jana na waandishi wa habari Mchungaji Msigwa, alisema Rc Hapi,amekuwa mkali kwa wafanyakazi wasiotekeleza wajibu wao,tofauti na viongozi waliomtangulia katika nafasi hiyo ndani ya mkoa wa Iringa
.
“Lazima mjue kiongozi wa kweli hufurahi na kupongeza mafanikio ya wengine pasipo kuona gele, pamoja na kwamba mimi ni mbunge kwa tiketi ya Chadema, nimejipambanua wazi wazi kutambua mchango wa viongozi wanaofanya vizuri”alisema Msigwa.

Madai anayolalamikia Msigwa kuwa hakushirikishwa ni pamoja na kitendo cha RC Hapi, kutaka afisa maendeleo wa Iringa asimamishwe kazi, kwa sababu alishindwa kuwapa walemavu wa kusikia, fedha za kushughulikia changamoto zao.

Pia alilalamikia kitendo cha Hapi,kuulizia sababu ya wananchi kutozwa kiasi cha 12800 katika hospitali ya Iaringa ilihali serikali imeshatoa maelekezo juu ya wagonjwa kutokutozwa fedha.

Mchungaji Msigwa katika taarifa yake kwa waandishi hiyo jana alieleza kuwa amekerwa na hatua ya mkuu wa mkoa huo, kumuweka ndani diwani wa viti maalum Chdema,aliyeamuru nyumba ya mwananchi ivunjwe pasipo kuwa na ruhusa ya mipango miji

Miongoni mwa mambo ambayo Msigwa analalamikia ni uamuzi wa mkuu wa mkoa huo, kuzuia madiwani kupewa tenda za halmashauri hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa itakuwa ni vigumu kwao kuhoji ubadhirifu wowote katika miradi hiyo.[/QUOTE]
 
View attachment 885836
-Kasi ya RC Hapi yamtia yamtia hofu ya kung’olewa ubunge 2020

-wivu wamtesa ataka ashirikishwe kuwashughulikia wazembe, Asema RC Hapi anapata sifa peke yake
NA JOANITHA KIWALE

MBUNGE wa Iringa mjini, Peter Msigwa,ameingiwa hofu na kasi ya utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi na kusema kasi hiyo haiwezi kumtoa katika nafasi yake ya Ubunge mwaka 2020.

Amesema kasi ya Hapi, kuwawajibisha wafanyakazi wazembe imekuwa kubwa na kutaka kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa kile alichoeleza mkuu huyo anataka kujijenga peke yake.

Alisema hata dhana ya mkuu wa mkoa wa Iringa ya kuwataka wananchi wabadilike kifikra na kuwa na maendeleo mapya(dhana iliyopewa jina la Iringa mpya),haikupaswa kutolewa na kiongozi huyo.

Mchungaji Msigwa alitoa kauli hiyo jana mjini Iringa, ikiwa ni siku chache tokea mkuu wa mkoa huo, Ally Hapi,afanye ziara kwa ajili ya kushughulikia kero za wananchi na kutatua.

Kufuatia ziara hiyo ya RC Hapi masuala mbali mbali yaliibuliwa, ikiwa ni pamoja na kubaini uzembe wa baadhi ya watendaji katioka mkoa huo na kuamua wachukuliwe hatua.

Katika mkutano wake wa jana na waandishi wa habari Mchungaji Msigwa, alisema Rc Hapi,amekuwa mkali kwa wafanyakazi wasiotekeleza wajibu wao,tofauti na viongozi waliomtangulia katika nafasi hiyo ndani ya mkoa wa Iringa
.
“Lazima mjue kiongozi wa kweli hufurahi na kupongeza mafanikio ya wengine pasipo kuona gele, pamoja na kwamba mimi ni mbunge kwa tiketi ya Chadema, nimejipambanua wazi wazi kutambua mchango wa viongozi wanaofanya vizuri”alisema Msigwa.

Madai anayolalamikia Msigwa kuwa hakushirikishwa ni pamoja na kitendo cha RC Hapi, kutaka afisa maendeleo wa Iringa asimamishwe kazi, kwa sababu alishindwa kuwapa walemavu wa kusikia, fedha za kushughulikia changamoto zao.

Pia alilalamikia kitendo cha Hapi,kuulizia sababu ya wananchi kutozwa kiasi cha 12800 katika hospitali ya Iaringa ilihali serikali imeshatoa maelekezo juu ya wagonjwa kutokutozwa fedha.

Mchungaji Msigwa katika taarifa yake kwa waandishi hiyo jana alieleza kuwa amekerwa na hatua ya mkuu wa mkoa huo, kumuweka ndani diwani wa viti maalum Chdema,aliyeamuru nyumba ya mwananchi ivunjwe pasipo kuwa na ruhusa ya mipango miji

Miongoni mwa mambo ambayo Msigwa analalamikia ni uamuzi wa mkuu wa mkoa huo, kuzuia madiwani kupewa tenda za halmashauri hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa itakuwa ni vigumu kwao kuhoji ubadhirifu wowote katika miradi hiyo.
Ww boya umelipwa.hivi,ccm ndo alikozaliwa baba ako.mbna mwongo San.na unashindwa hat kuchanganua mambo
 
Hii nakala niTaka taka kama taka zingine,yaani msigwa amuogope huyo akieshindwa ubunge na mwanadada kule kawe.
kama alishindwa kungoa mdee atamuweza kweki mtumishi wa mungu mchungaji msigwa kweli?
Acheni propaganda bana ,huyo dogo atangukia pua vibaya
Ali Happinness ana hasira na CHADEMA kwa vile walimnyima Ubunge!!!!
 
Duh yaani jamaa anaandika kinaa sana sasa napi mimi nko Iringa tunasikia tu anatafuta makiki.... MSIGWA TENA 2020
 
Akiukosa Ubunge si atarudi tu katika Kazi yake ya Kutuombea Sisi ' Kondoo ' wake wenye dhambi tukuka na za asili tu au?
 
View attachment 885836
-Kasi ya RC Hapi yamtia yamtia hofu ya kung’olewa ubunge 2020

-wivu wamtesa ataka ashirikishwe kuwashughulikia wazembe, Asema RC Hapi anapata sifa peke yake
NA JOANITHA KIWALE

MBUNGE wa Iringa mjini, Peter Msigwa,ameingiwa hofu na kasi ya utendaji kazi wa mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi na kusema kasi hiyo haiwezi kumtoa katika nafasi yake ya Ubunge mwaka 2020.

Amesema kasi ya Hapi, kuwawajibisha wafanyakazi wazembe imekuwa kubwa na kutaka kazi hiyo waifanye kwa pamoja kwa kile alichoeleza mkuu huyo anataka kujijenga peke yake.

Alisema hata dhana ya mkuu wa mkoa wa Iringa ya kuwataka wananchi wabadilike kifikra na kuwa na maendeleo mapya(dhana iliyopewa jina la Iringa mpya),haikupaswa kutolewa na kiongozi huyo.

Mchungaji Msigwa alitoa kauli hiyo jana mjini Iringa, ikiwa ni siku chache tokea mkuu wa mkoa huo, Ally Hapi,afanye ziara kwa ajili ya kushughulikia kero za wananchi na kutatua.

Kufuatia ziara hiyo ya RC Hapi masuala mbali mbali yaliibuliwa, ikiwa ni pamoja na kubaini uzembe wa baadhi ya watendaji katioka mkoa huo na kuamua wachukuliwe hatua.

Katika mkutano wake wa jana na waandishi wa habari Mchungaji Msigwa, alisema Rc Hapi,amekuwa mkali kwa wafanyakazi wasiotekeleza wajibu wao,tofauti na viongozi waliomtangulia katika nafasi hiyo ndani ya mkoa wa Iringa
.
“Lazima mjue kiongozi wa kweli hufurahi na kupongeza mafanikio ya wengine pasipo kuona gele, pamoja na kwamba mimi ni mbunge kwa tiketi ya Chadema, nimejipambanua wazi wazi kutambua mchango wa viongozi wanaofanya vizuri”alisema Msigwa.

Madai anayolalamikia Msigwa kuwa hakushirikishwa ni pamoja na kitendo cha RC Hapi, kutaka afisa maendeleo wa Iringa asimamishwe kazi, kwa sababu alishindwa kuwapa walemavu wa kusikia, fedha za kushughulikia changamoto zao.

Pia alilalamikia kitendo cha Hapi,kuulizia sababu ya wananchi kutozwa kiasi cha 12800 katika hospitali ya Iaringa ilihali serikali imeshatoa maelekezo juu ya wagonjwa kutokutozwa fedha.

Mchungaji Msigwa katika taarifa yake kwa waandishi hiyo jana alieleza kuwa amekerwa na hatua ya mkuu wa mkoa huo, kumuweka ndani diwani wa viti maalum Chdema,aliyeamuru nyumba ya mwananchi ivunjwe pasipo kuwa na ruhusa ya mipango miji

Miongoni mwa mambo ambayo Msigwa analalamikia ni uamuzi wa mkuu wa mkoa huo, kuzuia madiwani kupewa tenda za halmashauri hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa itakuwa ni vigumu kwao kuhoji ubadhirifu wowote katika miradi hiyo.
acha ashikwe pabaya maana hana jipya tena iringa mjini
 
Back
Top Bottom