Mkuu Rabbon hongera sana kwa uzi wako, nimebarikiwa sana na hiyo sala ya toba, ingekua vyema kama hiyo sala ungeiweka kwenye kila thread yako humu, ata kama mtu mmoja atakiri kwa Mungu wetu ni ushindi mkubwa sana!!
Hakika tupo nyakati za hatari!!
Kwa kifupi wachaga na wakinga wanatelezea mulemule kwenye wito Mungu aliowaitia..
Kila mtu/kabila kuna kitu Mungu amewawekea ili kutimiza kusudi lake kwetu na hapo na sisi tunafanikiwa!!
Kwa wasomaji wa biblia mtaungana na mimi kwa kurefer makabila 12 ya Israel (watoto wa Yakobo) pale baba...
Mkuu unataka kusema kua wachaga ndio kabila pekee nchi hii linalofanya matambiko? Mbona kila kabila na jinsi yake tena wengine ni washirikina wanaosifika ila kwa maendeleo hawawakuti wachaga?
Au tuseme hiyo miungu ya jamaa zetu wameshikilia mifumo ya utajiri/maendeleo
Umenifurahisha sana kusema kua umeokoka...ubarikiwe sana na kama kweli umeokoka utafahamu jinsi gani ndoa na maisha kwa ujumla ya wapendwa yanavyopigwa vita na shetani!!
Kitu unachokosea ni kumpa binadamu mwenzio nafasi zaidi ya Mungu wako aliekuumba!!
Umejishusha sana kwake adi sio poa...mpe...
Hakika nchi yetu imegubikwa na ujinga na upuuzi mwingi sana na kinachouma zaidi wananchi tupo kama mazombi, tunapelekwa tu.
Embu angalia nchi haina umeme, maji shida, hali ya maisha ni ngumu kwenye maofisi ya serikali ukiritimba umejaa alafu kuna wapumbavu wananyanyua midomo yao na kumkashifu...
Mkuu umeandika kitu muhimu sana, ila umekua bias kwani hata hao wanaowatumia hao mashoga na hao makahaba pia akili zao zina shida pia...
Mithali 6:32-33 "Yeye aziniye na mwanamke hana akili kabisa na afanya jambo litakalomwangamiza"!!
Mungu atusaidie sana!!
Yani hapa ukipitia comment za watu ndio unaweza kisia YESU KRISTO WA NAZARETH akishuka toka mawinguni muda huu ni nani atanyakuliwa nani ataachwa...
Sijui ni kiburi cha uzima ama ni nini, Mungu atusaidie sana wengine unasoma comment zao unaona mtu anaandika ili aonekane anajua sana...
Wakuu...
Hakika jina la Yesu na Damu yake vinanena mema mkuu. Vp bado unaendelea na uasherati/uzinzi au umeacha? Karibu kwa Yesu mkuu ya duniani yote ni ubatili mtupu na kujilisha upepo!!
Me naona ni fifty fifty haina cha kwamba imebase wapi. Maana kwa mfano tuangalie kwenye matokeo ya shule maybe ya darasa la 7 au kidato cha 4 au hata chuo.. unaweza kuta wanawake wamewaburuza vibaya sana wanaume.
Ila pia mimi nawajua wanaume ambao ni empty set kichwani adi unajiuliza..
Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.