Kusikika ni promotion mkuu, haihitaji kuwa suala zito au jepesi. Kama huna pesa kufanya promotion huwezi sikika. Pia biashara ya muziki inahitaji effort ya promotion ireflect kwenye mauzo.At least ameweza kusikika tena,sio swala jepesi hili nakwambia.
Kesho na kkutwa akianza kualikwa kwenye majukwaa ya uinjirishaji itakuwa sababu ya nyimbo za nyuma na hizi za sasa.
Kwani ilikuwa je mpaka akapotea kwenye ramani ya dunia?Malkia wa muziki wa Injili Rose Muhando amerudi kwa kasi ya 5G huku akitajwa kuwa ni msanii namba moja wa injili kwa sasa Tz
Album yake ya Secret agenda imetikisa kwa kufanya vizuri sana sokoni huku akineemeka kwa mamilioni ya viewers huko Youtube
Nyimbo zinazofanya vizuri kwa sasa ni Secret agenda iliyobeba jina la Album, Tuipakue, Siki na fongo na nyimbo inayoitwa "Kama mbaya mbaya tu".
My take:Sikuwahi kuamini msanii akiporomoka kama anaweza kurudi kwenye chati hivi, huyu mwanamama ana karama ya kipekee kuna la kujifunza kutoka kwake na wasanii wengine wote ambao ndo wanataka kurudi kwenye game
Rose muhando ni msanii pekee ambaye alipotea kwenye game ndo amerudi na moto ule ule na kubaki namba moja....
Umeandika kitu cha tofauti sana mkuu...ila hapa adi uwe na jicho la tatu ndio utang'amua....Ukiangalia uimbaji wa Rose, bado hajaelewa vizuri ukristo wa upendo ni nini,
Haachi aongozwe na love...huu sio ukristo sahihi
Nakazia.Injiri imo.roho mtakatifu anakaa kwako sio ktk vimbo.
Kwanini usizisikilize ili upate jibu mwenyewe.Bado anaimba kwa kupiga makelele kama nyimbo zake za zamaani?
Hujasikiliza zote, zipo za mahubiri mf "Jipange sawasawa" zipo za kumtukuza Mungu mf "Naona Kama maono" yupo Kila angleAsilimia 50 ya album ni mipasho, 40 kujisifia, 10 malalamiko
WimboInjiri imo.roho mtakatifu anakaa kwako sio ktk vimbo.
Uko na spiritual intelligence. Be blessed.Ukiangalia uimbaji wa Rose, bado hajaelewa vizuri ukristo wa upendo ni nini,
Haachi aongozwe na love...huu sio ukristo sahihi
Rudia kusoma nilichoandika kisha sikiliza hizo nyimboHujasikiliza zote, zipo za mahubiri mf "Jipange sawasawa" zipo za kumtukuza Mungu mf "Naona Kama maono" yupo Kila angle
Amen mama diiMungu wa tena amemuinua tena Da Rose
Sifa na utukufu ni kwake yeye mwenye enzi
Toa ushamba hapa dada Christina ShushoUkiangalia uimbaji wa Rose, bado hajaelewa vizuri ukristo wa upendo ni nini,
Haachi aongozwe na love...huu sio ukristo sahihi
Acha wivu dadaMuhuni tu huyo