Mimi nakaa Kihonda Mkuu....Kihonda Kwa Chambo nimezaliwa Moro Elimu yangu ya msingi,sekondari yote Moro....naijua Moro vizuri....ni kweli kwamba si Nyumba zote ni Nzuri na si kweli kwamba Nyumba zote za Moro au Kihonda ni mbaya....pia n kweli kwamba si viwanja vyote vimepimwa Moro lakin pia...
Na hapo Ndo mjue CCM wanafanyaga maovu makusudi na baadae walofanya upuuzi huo hutunukiwa vyeo Leo aliyekuwa kamanda wa polisi mkoa wa Iringa ambaye mwandishi wa habari marehemu Mwangosi aliuliwa mbele yake kapandishwa cheo,haya na bwana Makonda aliyemshambulia Mzee Warioba ni Mkuu wa...
twatwatwa
Acheni kuhukumu kwa kusikia.....ulimkuta nazo hizo bangi au mkishasikia na nyiny mnakuja kujifanya mashuhuda ili tuwaone mnamjuuuuuua Afande selle tokeni zenu hapa......bora ya selle kuliko mbunge bubu abood.
Tokeni zenu bwana......mnaongea kikike hamna hata sababu za msingi ila hamtaki tu afande sele kuwa mbunge nyi wehu kweli....sisi wana Morogoro tunamtaka tena sana tu,hata Sugu kuna mapunguuani walipiga kelele hivyo hivyo lakini leo hii kimyaaa.......
Acha mapenz ya kijinga......Nchi hii ni ya wa Tanzania sio ya CCM wala ya CHADEMA Kikwete na wenzake ni wezi.......serikali yake tumeshuhudia kashfa ngapi za wizi ambazo zinzfanywa na wanaoitwa wasaidiz wake?,hakwepi haya huo ndo ukweli......mapenz ya kijinga hadi kupotosha ukweli hauna nafas...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.