Recent content by Christian Ronaldo

  1. C

    Majengo ya Morogoro, Nani mjenzi?

    Mimi nakaa Kihonda Mkuu....Kihonda Kwa Chambo nimezaliwa Moro Elimu yangu ya msingi,sekondari yote Moro....naijua Moro vizuri....ni kweli kwamba si Nyumba zote ni Nzuri na si kweli kwamba Nyumba zote za Moro au Kihonda ni mbaya....pia n kweli kwamba si viwanja vyote vimepimwa Moro lakin pia...
  2. C

    Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya, wengine waenguliwa kutoka kwenye nafasi zao

    Na hapo Ndo mjue CCM wanafanyaga maovu makusudi na baadae walofanya upuuzi huo hutunukiwa vyeo Leo aliyekuwa kamanda wa polisi mkoa wa Iringa ambaye mwandishi wa habari marehemu Mwangosi aliuliwa mbele yake kapandishwa cheo,haya na bwana Makonda aliyemshambulia Mzee Warioba ni Mkuu wa...
  3. C

    Mtihani wa Darasa la Saba wafutwa

    Bora elimu and not Elimu bora....................tumekukosea nn CCM?
  4. C

    Binti akutwa amekufa Guest House Morogoro

    Jina la gest plllllllllz.....
  5. C

    Afande Sele ajiandaa kunyakua jimbo la Morogoro Mjini

    twatwatwa Acheni kuhukumu kwa kusikia.....ulimkuta nazo hizo bangi au mkishasikia na nyiny mnakuja kujifanya mashuhuda ili tuwaone mnamjuuuuuua Afande selle tokeni zenu hapa......bora ya selle kuliko mbunge bubu abood.
  6. C

    Afande Sele ajiandaa kunyakua jimbo la Morogoro Mjini

    Tokeni zenu bwana......mnaongea kikike hamna hata sababu za msingi ila hamtaki tu afande sele kuwa mbunge nyi wehu kweli....sisi wana Morogoro tunamtaka tena sana tu,hata Sugu kuna mapunguuani walipiga kelele hivyo hivyo lakini leo hii kimyaaa.......
  7. C

    Kujiuzulu kwa Prof. Muhongo: Mengi ni mtu mwenye Nguvu/Ushawishi zaidi Tanzania

    Alisema akitoka Nchi itatikisika hebu tuone now huo mtikisiko......
  8. C

    UKAWA hapa nimewakubali

    Ukawa tumaini letu.......
  9. C

    Escrow kumuumbua Rais Kikwete

    Acha mapenz ya kijinga......Nchi hii ni ya wa Tanzania sio ya CCM wala ya CHADEMA Kikwete na wenzake ni wezi.......serikali yake tumeshuhudia kashfa ngapi za wizi ambazo zinzfanywa na wanaoitwa wasaidiz wake?,hakwepi haya huo ndo ukweli......mapenz ya kijinga hadi kupotosha ukweli hauna nafas...
  10. C

    Mwigulu Nchemba: Sijadanganya umri, kinachoonekana ni makosa ya kiuchapaji

    Mwigulu si aje hapaa,na vyeti vyotemmmprimary to univ..
Back
Top Bottom