eti anamuachia mke wake ebo!!!! Kwani hilo jimbo ni mali yake??? Nitashangaa saaana wananchi wa urambo mkimchagua mama sita kwa maana mtakuwa mmekubaliana na usultani wao, Tanzania sio mali yao au sehemu ya uk oo wao bali tanzania ni mali ya watanzania ... Hapa mnatakiwa muonyeshe ushupavu.
Anamwachia mkewe? Huyu chura aliyerudia maji bila shaka aliyakuta maji yana moto hadi yakamwathiri ubongo ma sasa anadhani jimbo la uchaguzi ni mali ya familia. Very sad indeed.