Yaani bongo watu wanaongelea sijui mark x, brevis, verosa, mark II, Subaru, hao wanaendesha alteza sasa utafikiri wanaendesha Nissan GTR kumbe sedan ya kawaida tu kelele nyingi gari iko hapohapo. Huwa nacheka sana road wakianza ligi zao za kitoto....
Hamna kitu napenda kama beer na nyama za kutayarisha nyumbani..... Sijui wewe nyumbani kwako wanapika vipi..... Ila kwangu wanajua kuanzia michemsho, kuchoma, kukaanga na korokocho nyingine. Yaan nina nimezungukwa na watu wanajua mapishi....
Jbl ni jina la kampuni, kama ilivyo sony, Panasonic, Samsung. Sema hawa jbl wanatengeneza na music system kubwa kama za kupiga kwenye matamasha ya music.
we unatolea mfano ubalozi wa marekani!! electrician ambaye amesoma veta trade test pale ubalozini analipwa 1.2mil per month na bado kuna benefits kibao anapata. Electrician huyo huyo na hizo qualifications serikali yako ya magu analipwa 380000 per month. Alafu unakuja kuongea blah blah hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.