Recent content by christhekatt

  1. christhekatt

    1jz GTE ni injini yenye nguvu sana

    Yaani bongo watu wanaongelea sijui mark x, brevis, verosa, mark II, Subaru, hao wanaendesha alteza sasa utafikiri wanaendesha Nissan GTR kumbe sedan ya kawaida tu kelele nyingi gari iko hapohapo. Huwa nacheka sana road wakianza ligi zao za kitoto....
  2. christhekatt

    Mbona Xi Jinping China au Puttin au Merkel wa Ujeruman hawajui kizungu kabisa? unapimaje uwezo wa mtu kwa kujua kizungu?

    We si unasikia anavyokandamizia akiongea kiswahili, nukuu( kuna watu wanaficha maheraa). Seriously!!
  3. christhekatt

    Inakuwaje nyama ya baa inakuwaga nzuri zaidi ya nyama ya home, hata ya home ipikwe fresh zaidi?

    Hamna kitu napenda kama beer na nyama za kutayarisha nyumbani..... Sijui wewe nyumbani kwako wanapika vipi..... Ila kwangu wanajua kuanzia michemsho, kuchoma, kukaanga na korokocho nyingine. Yaan nina nimezungukwa na watu wanajua mapishi....
  4. christhekatt

    Hili la Rais Magufuli kukwepa mikutano na vikao vya kimataifa limekaaje? Hakuna tunachopoteza?

    Ataenda kuongea nini huko duniani, hotuba zake za ndani tu hazieleweki.. kazi kutajataja manamba na mipasho
  5. christhekatt

    Nahitaji msaada kutoka kwa wanaofahamu muziki

    Jbl ni jina la kampuni, kama ilivyo sony, Panasonic, Samsung. Sema hawa jbl wanatengeneza na music system kubwa kama za kupiga kwenye matamasha ya music.
  6. christhekatt

    Nahitaji msaada kutoka kwa wanaofahamu muziki

    I mean you won't regret...
  7. christhekatt

    Nahitaji msaada kutoka kwa wanaofahamu muziki

    Nunua jbl full music system utajutia hela yako.
  8. christhekatt

    Magufuli fukuza watumishi wote. Ajiri upya na kuweka KPI kama staff wa Big 4 proffessional firms

    we unatolea mfano ubalozi wa marekani!! electrician ambaye amesoma veta trade test pale ubalozini analipwa 1.2mil per month na bado kuna benefits kibao anapata. Electrician huyo huyo na hizo qualifications serikali yako ya magu analipwa 380000 per month. Alafu unakuja kuongea blah blah hapa...
  9. christhekatt

    ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

    Jamaa kasema we believe in numbers..... And it's true numbers don't lie let's wait and see
  10. christhekatt

    How To Arouse a Girl. Soma

    In bongo u don't need all of that bullshit, u just money and u can fuc... any girl
  11. christhekatt

    Matumizi ya simu za smartphone Tanzania

    Unakuta mwanaume yuko snapchat or instagram....... Seriously!!
  12. christhekatt

    VIDEO: Alichokisema Ismail Jussa juu Uamuzi wa CUF kumfukuza Prof. Lipumba

    No moon on. . ..l. Lll L l monk no
Back
Top Bottom