ACACIA Mining PLC: We do not agree with President Magufuli Committee's findings...

tusiwe waoga, tuendelee hivihivi kuwafanyia ubandidu, sema tuu tujipange, tusije amka siku tukakuta rebels kibao huko misituni wakiwa na silaha hata hatujui walizipaje.
 
Hapa watakuja wenye akili tu lumumba hawawezi pita hapa
Wewe pia ni wakala wa shetani.

Ulitegemea acacia wajibu vipi?

Swali la kujiuliza pia___ Je wale wasomi na wataalamu wetu si lolote si chochote katika kile walichokitolea taarifa? Kwa maana nyingine ingekuwa mtihani wa maabara ile tume yote itakuwa imefeli?
Nnachojua ni kuwa baadhi yao ni walimu wa chuo kikuu katika field hiyohiyo, je hawajui wanachofundisha wanafunzi wao?
Kwa lugha nyepesi nao ni feki?

Au walishinikizwa kutoa report feki?
Acha kutoa coment za kijinga ?
 
Tena samaki ni yeye huyu alikurupuka na visirani vyake na, kutaka kiki kwenye media kidagaa kikamng'ang'ania

Tulipigwa na awamu ya nne baadhi ya watu waliojichimbia ndiyo waliomhujumu Dr. Magufuli kwenye samaki na wote waliohusika wako wazi, kwa sababu wao ndiyo waliokuwa wanaruhusu ule uvuvi kwenye bahari kuu ya Tanzania .

Jiulize , mbona hawaji kuvua samaki tena siku hizi kwenye bahari kuu ya huko Tanzania!?

Tunakataaa huu upuuzi wa wazungu koko kuwa hatutaki huo upoyoyo kuendelea hapa nchini kwetu na wazungu pori wote.
 
Acacia sio wezi bali hapa lawama ni kwa watz wenzetu wachache ambao sio wazalendo. Haya yanafanyika huku kukiwa na watz waliopewa dhamana ya kuwasimamia.
Suala la ubovu WA scanners pia ni letu sio Lao,laiti km tungekuwa na vifaa vzr ya kubaini hayo makontena ndani yana nn nahisi kiasi fulani tusingefika huku.
Nikweli, Ila hakuna kampuni haikwepi chochote katika serikali,
 
Wanaotia hasira ni wale waliotufikisha hapa tulipo leo hii na wale ambao wamekuwa wakiwaunga mkono alafu leo ndio wanajidai kugeuka eti wana uchungu na hii nchi.
Mkuu we ndio umetoa point,wengine humu wengi ni km bendera fuata upepo.
 
Wewe pia ni wakala wa shetani.

Ulitegemea dowans wajibu vipi?

Swali la kujiuliza pia___ Je wale wasomi na wataalamu wetu si lolote si chochote katika kile walichokitolea taarifa? Kwa maana nyingine ingekuwa mtihani wa maabara ile tume yote itakuwa imefeli?
Nnachojua ni kuwa baadhi yao ni walimu wa chuo kikuu katika field hiyohiyo, je hawajui wanachofundisha wanafunzi wao?
Kwa lugha nyepesi nao ni feki?

Au walishinikizwa kutoa report feki?
Acha kutoa coment za kijinga ?

Hao wanaojibu hivyo, tutawakata vichwa tu, hakuna kukaa na mijitu haina akili kabisa na kuendelea kudhani kuwa wanatusaidia kumbe ndiyo mapoyoyo na wanashirikiana na wazungu koko kutuibia.

Yaani, tunahitaji kulinda mali zetu za nchi hii Kwa umoja na wote waliohusika wamekamatwa na zaidi, wazungu koko walipe hela zote walizotuibia.
 
Rais wetu anania njema kabisa....tatizo lake ni kwamba anafanya kazi kwa mihemko,hii ndiyo inayopelekea kutosikiliza ushauri wa wataalamu na wateule wake wanaomzunguka.
Asipobadilika, ipo siku nchi hii itaingia kwenye matatizo makubwa mno...ajifunze kusikiliza ushauri wa wataalamu na wateule wake. Lissu alitoa ushauri mzuri lakini aliupuuza,yamkini hata huyo Mhongo alishauri lakini hakusikizwa....hatujui hili sakata litatugharimu kiasi gani wakati pengine angewasikiliza hili jambo lingefumbuliwa pasipo gharama.
 
Waterloo elewa kwa maneno hayo tuna dhahabu kiasi gani. Mbona ripoti nyingi za hao wazungu zinaonyesha hilo la wizi wa maliasili hasa madini ya Africa!!!
Shangaa mwenyewe. Wataalamu wa acacia wanakwambia kwa kiwango cha gold concentration kwenye mchanga ukijumlisha na kiasi wanachochimba hapa nchini Tanzania ingekuwa nchi ya kwanza kwa uzalishaji wa dhahabu duniani.kwa buzwagi na bulyankulu
 
Sasa kumekucha ...sasa kumekucha jogoo limekwisha wika acacia (Bulyanhuru na Buzwagi) vs state house. Mh Rais usilegeze mamba, majibu haya walizoea kuyatoa saba huko nyuma. Mwaka huu haachwi mtu "no stone will be left unturned, " thanks very much for calling a spade spade following u'r committee's findings.

Utetezi wao ni kama wa fisadi Lowasa, eti hawajatuhoji na pia eti viwango za findings za kamati ziko kwa juu sana zaid ya zile viwango zao.

Wareteeeeeee.....pyeeeeeee........
Weraaaaaaaa.....weraaaaaa....mm
 
Hao wanaojibu hivyo, tutawakata vichwa tu, hakuna kukaa na mijitu haina akili kabisa na kuendelea kudhani kuwa wanatusaidia kumbe ndiyo mapoyoyo na wanashirikiana na wazungu koko kutuibia.

Yaani, tunahitaji kulinda mali zetu za nchi hii Kwa umoja na wote waliohusika wamekamatwa na zaidi, wazungu koko walipe hela zote walizotuibia.
Sawa,tunahitaji kulinda rasilimali zetu,ila report haina uhalisia kabisa!
 
Mkuu we ndio umetoa point,wengine humu wengi ni km bendera fuata upepo.

Siyo kweli, rais, mwanasheria mkuu na waziri wa awamu zile ndiyo matatizo.

Magufuli, hajawahi kushika hizo nafasi isipokuwa hii sasa ya yeye kuwa rais kiasi kwamba sasa ataweza kuitetea nchi.
 
Hatuwezi kuendelea kuwa waoga kuulizia mali yetu. Woga ni adui nambari moja.
Issue sio woga, issue ni kuwa makini kwenye masula yanayohusu mikataba. Mikataba ukiifrustrate tu. Basi madhara yake huwa makubwa sana. Jana tu. Baada ya dr. Presida kutangazia dunia taarifa ya hiyo report, share za acacia zimeshuka kinoma kwenye Soko la hisa la London. Nani atakayekuja kuwa- compesate ikija gundulika kuwa tuliyotangazia dunia hayakuwa sahii? Au ndio yatakuwa Yale ya zile samaki? Tunesema na tunaendela kusema, tusipojali utawala wa Sheria kufanya mambo ya MSINGI kama hayo, tunajitafutia umaskini wa bure. Na nikuta kutumia fedha za walipakodi katika kulipia fidia zisizo za msingi
 
Hummmmm tuwahi kuvunja mikataba ili tunusulike na hayo mafidia yatakayoletwa kwa kutukomoa ila machozi ya wa tz yangekuwa kama mito kipindi cha masika yangewasomba mawaziri wa mkapa na mkwele professor mhongo kaingiaje hapo

Na professor lipumba alikuwepo.
Kweli muhongo hapo km ameonewa tu, ingependeza rais angeanza na chenge ambae ndie aliekuwa Mwanasheria mkuu those days. Then mtiririko ungeenda hivyo hadi the last Minister before muhongo.
 
Sisi watanzania wepesi sana kwenye hoja za upande mmoja. Tuwe na uvumilivu wa kusikiliza na upande wa pili.
 
Back
Top Bottom