christhekatt
Member
- May 13, 2013
- 40
- 30
we unatolea mfano ubalozi wa marekani!! electrician ambaye amesoma veta trade test pale ubalozini analipwa 1.2mil per month na bado kuna benefits kibao anapata. Electrician huyo huyo na hizo qualifications serikali yako ya magu analipwa 380000 per month. Alafu unakuja kuongea blah blah hapa, unafikiri ukiwa bosi kazi yako ni kuwaambia watu hapa kazi tu. Kazi hiyo bila motivation nani atafanya.