Matumizi ya simu za smartphone Tanzania

Matumizi ya simu za smartphone Tanzania

jamaa kaongea ukweli si ajabu hata wewe ni victim Wa hili zaga
Mimi kwanza natunia kitochi mtandaoni kitarikishi, sina hizo taratibu za umbea wa uso wa kitabu. Nilikua najibu nilichokiona naweza kukijibu ila jamaa akanifananisha na hao wajinga. Mi pia sipendi huo upumbafu.
 
FAIDA NA HASARA ZA TEKNOLOJIA

1: KWA WEREVU:
watazidi kuwa werevu zaidi na zaidi na kupata kujua mambo mengi ya manufaa ya dunia na kujiendeleza haraka kwa namna mbali mbali.. na kupata faida lukuki ktk maisha yao

2: KWA WAJINGA: Watazidi kuwa majinga zaidi na zaidi, sbb hawako kujifunza, wako kiujinga ujinga, watabaki na mapicha ya kijinga, porno, kufukuzana na umbea umbea kutwa, kila siku, kila wiki, miezi, miaka etc, ujinga wake utakuwa zaidi na zaidi... ukilaza utakuwa zaidi, na hawa wako wengi sana sana..

Conclusion:
Tatizo ni
mtu mwenyewe, sio simu au computer, teknolojia yoyote haikuvumbuliwa kufanya watu wawe wajinga zaidi, ila ww mwenyewe utakavyoitumia hiyo teknolojia utaamua unatumia kwa manufaa au ujinga..!! Wengi wanatumia kwa ujinga, hasa miafrika..!!
Miafrika ndio nini ?
 
Sawa baby ntafanya yangu, kama wewe ni mwanaume halafu unalambalamba mdomo na kubinua makalio wakati wa kupiga picha kama ninavyokuona ukifanya basi tegemea mshipa wenye kusinyaa na kutanuka kwenye marinda yako muda c mrefu. Unadhani akina kaoge walianzaje? shauri yako endelea tu.
qummer marco
 
Hata hizo picha wengine zina maana kubwa,kuna watu wamependwa na wameolewa kwa sababu walionwa mitandaoni kupitia picha, japo mimi binafsi sipendi kupiga picha wala kupost picha mitandaoni hata kama kuna tukio kubwa linalonihusu, ila wanaume ndo wanasababisha wanawake wawe na mapicha mengi, anaku pm kwa kukuomba picha yaani baada tu ya salamu ya kinafiki, utasikia (mambo mrembo, nitumie basi picha yako), yaani wanakera sana, sasa ukikutana na anayependa mipicha anamtumia na akiiona nzuri anaisambaza tena kwa maana mbaya, wanaume jirekebisheni jamani mnatukera sana
 
Smartphones are killing social intelligence.
Siku moja niliona Arirang TV ya S. Korea wanakiita hiki kizazi cha wanaotembea na mimacho yote kwenye simu 'SMOMBIES' yaani Smartphone Zombies.
 
Back
Top Bottom