Recent content by chriss makoba

  1. chriss makoba

    Hili wanalolifanya Wakurya sio sawa kabisa

    Nimefurah kusoma Ujumbe wako, tatizo la waafrika na wengi wengi watanzania tukifika dar tunakuwa watumwa, ukweli suala la kukeketa hat ulaya lipo. Acha watu wafanye yao, we chukulia Kama utalii
  2. chriss makoba

    Hili wanalolifanya Wakurya sio sawa kabisa

    Hahahahahaha, wewe Ndo primitive Kweli, nyie ndo mkifika dar hakumkumbuki ya kwenu kishimundu
  3. chriss makoba

    Hili wanalolifanya Wakurya sio sawa kabisa

    Acha watu wadumishe mila zao popote walipo, bas hat wamasai unawez kuwazuia wasivae mavazi yao kwan hawako dar
  4. chriss makoba

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    mkuu nasumbuliwaa na meno sana tena sana, nimeng"oa meno matano lkn bado mawili yametoboka na yanaumwa sana, please nisaidie
  5. chriss makoba

    Uhamisho TAMISEMI June 2016 kwa Walimu vipi?

    Uhamisho huu hausishi kuongezeka kwa mshahara au nyongeza yeyote, kulingana waraka uliotoka . Subiri bado muda kidogo
  6. chriss makoba

    Msaada: Jinsi ya kubadili shule

    Bas Kama Ni hivyo sawa, mpe msaada au namna
  7. chriss makoba

    Msaada: Jinsi ya kubadili shule

    Kama sikosei nimesoma tangazo la tamisemi, hutakiwi kubadilisha shule wala masomo uliyopangiwa
  8. chriss makoba

    Kubadilishana kituo cha kazi

    Na wanaochukua likizo bila malipo
  9. chriss makoba

    Kubadilishana kituo cha kazi

    Haijazuia kubadilishana ila kupandishwa cheo, mshahara na kuajiriwa
  10. chriss makoba

    Serikali imesitisha ajira zote na nyongeza za mishahara nchini

    Ni suala la kusubir tuone faida yake n nn, kwn kuangalia uwiano wa kazi na mshahara wa mtumishi n suala la msing,
  11. chriss makoba

    Magufuli piga kazi mkuu, wengi walikutabiri

    Mbona umeme umetolewa makato ambayo yalikuw takriban 5700, na sasa unawez kununua umeme wa 500, Lkn hata Hilo moja hujadili wew unajikita ktk kupinga na sio kuboresha
  12. chriss makoba

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Naomba msaada, Nina mpenz ameingia hedhi 8 mwez wa 2,. Nimekutan nae tareh 4 mwez 3, akiwa kabakiza siku nne kuingia hedhi, mpaka sasa hajapat hedhi,na ukizingatia nimekutana nae siku ya 24, je kuna uwezekano wa kupat mimba kama nikiendelea kukutana nae? Kwamba alibadili mazingra alipokuwa...
Back
Top Bottom