Ndugu WanaJF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 na nina elimu ya kidato cha nne. Tangu nizaliwe huwa naifurahia sana kazi ya uaskari polisi. Kama kutakuwa na mtu anayeweza kunisaidia nikaipata hyo nafasi naomba msaada kwake, pia anaweza ku-PM.
Sifa nilizonazo;
- Elimu fom 4 point 29...
ni vema ununue solar maana hata kupunguza garama .Solar zipo za watt tofautitofauti mfano 15w inaweza kuchukua had 150000. Pamoja na kufungiwa kuhusu betr c kweli kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.