Recent content by chrisno

  1. C

    Hivi mtu akiwa amekuacha alafu anakutumia sms ya kukujulia hali anamaanisha nini?

    ukiona hvo ujue anakutafta la moyoni tuuuu!!!!
  2. C

    Je, ni umri gani unaofaa kuanza kufanya mapenzi?

    hahaaaaaa acha hyo utaniua nakuchekeaaaaaaa!
  3. C

    Watuhumiwa 19 wa ugaidi Turiani wakamatwa

    good kaz kwa jeshi la polis
  4. C

    Natafuta kazi ya ulinzi

    da! komaaaa ndg utapata
  5. C

    Natafuta mchumba

    fursa hiyo wakuu wenye cfa hizo
  6. C

    Jenerali Mwamunyange anastaafu utumishi wa umma leo

    ndu hii habar kwangu ni ngeni kabxa mwenye taarifa anijuze hata kwa kuni pm nitafurahi sana
  7. C

    Napenda kuwa Polisi

    mkuu kwa nn unasema hvo nieleweshe bas
  8. C

    Napenda kuwa Polisi

    shukrun sanaaa mdau naomba nifuatilie ndg
  9. C

    Nane nane mwaka 2015: Matembezi ya hisani ya wana JF kuchangia wagonjwa Ocean Road

    ahaaaa good idear pamoja daima nami nitatimba kama kawa
  10. C

    Napenda kuwa Polisi

    Ndugu WanaJF, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 na nina elimu ya kidato cha nne. Tangu nizaliwe huwa naifurahia sana kazi ya uaskari polisi. Kama kutakuwa na mtu anayeweza kunisaidia nikaipata hyo nafasi naomba msaada kwake, pia anaweza ku-PM. Sifa nilizonazo; - Elimu fom 4 point 29...
  11. C

    Wanausalama wengi ni CCM?

    tanzania yetu hii haina kitu kabxa
  12. C

    Msaada: Kati ya Solar vs Generator kijijini

    ni vema ununue solar maana hata kupunguza garama .Solar zipo za watt tofautitofauti mfano 15w inaweza kuchukua had 150000. Pamoja na kufungiwa kuhusu betr c kweli kweli
  13. C

    Ameamua kuni unfriend mpaka kwenye fecebook

    hahaaaaaaaa dunia hii
  14. C

    Yanayojiri leo 11/6/2015 Uwasilishwaji Wa Bajeti 2015/16

    da! ee mungu isaidie tz yetu
Back
Top Bottom