Makenda Technology – Job
Position: Content Writer 7
Job Description:
Writing web content for websites / portals from scratch.
Editing and Proof reading content once written.
Writing, editing and proof reading copy for client projects based on the material supplied by them.
Writing product...
Tumia hii link utapata series latest kibao www.freemoviesub.com Ila unatakiwa kudownload file la subtitle jinsi ya kuweka subtitle kuna mdau aliweka maelezo hapa Jinsi ya kuweka subtitle kwenye movie yeyote ile
Ndo Mpya? Namaanisha Ni mpya hiyo ads acc? Kama sio mpya bas hiyo website itakuwa hai support ads ila kama ni mpya iko kwenye review baada ya muda yataonekana
Huwezi kukubaliwa kwa blog ya kiswahili labda ufungue kwa lugha ingine halaf baadae uhamishie matangazo kwenye blog yako ya kiswahili na kwa sasa wanabana sana ningumu pia kutumia kwa blog ya kiswahili na hata kupata adsense kwa sasa ni swala gumu sana....
Hii ni msg walinitumia baada ya...
Inaonekana Ulijaribu ku remove footer credit... Kama ni hivyo Upload upya lakini usiitoe hiyo footer credit mana huwa wana ziset ukiitoa mtu akifungua inarudi kwake.
Matangazo yanayowaingizia hela ni hayo unayoyaona upande wa juu pembeni au kati ya post unayoyaona kama ya voda nk.
Google hela yao nyingi wanaingiza kwa njia ya matangazo ambayo unayaona kwenye blogs/website mbalimbali pia wana bidhaa mbalimbali kama Google playstore ambayo mtu akiweka app...
Naomba kuuliza mkuu nikilipia hiyo ya 15,000 ambayo nio ya Tsh. naweza kulipia bidhaa ambayo inauzwa kwa usd? au itabidi niwe na kadi ya usd ili kulipia bidhaa zinazouzwa kwa usd?
Gharama zipo unalipia kitu kama $25 kwa play store tumia hii link Redirecting... kisha lipia halafu unaiweka... kwa apple tumia hii link utajua zaidi How To Submit Your Own App To The iTunes App Store
Tofauti ni kuwa offline inaweza fanya kazi bila hata ya internet ila kwa online lazima kuwe na internet ili iweze kufanya kazi.
Yap unaweza kutengeneza Website then baadae ukaja kutengeneza app ya hiyo website yako na vikafanya kazi vyote kwa pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.