Sasa kama mwenye nyumba ndio anaeibia familia yake tutafanyaje? Hapa mwizi sio huyo Kanjbai, nina uhakika wezi ni sisi wenyewe kwa kumtumia Kanjbai. Ila pendekezo la Mwandosya kuhusu kufunga mlango kwa kuangalia policy na laws zetu zilipo na mwanya na kurekebisha. But wazo langu ni kuwa, our...
Kiukweli hakuna hatua iliyoniumiza kama huyu jamaa kutegemewa kutoa ushauri. Hivi inamaana hatuna watu wengine wenye weredi wa kulipa bunge ushauri pale unapohitajika!?
Jamani mpira una mambo mengi. Unaweza ukajua sana kuucheza uwanjani na bado ukafungwa. Kitu cha muhimu hapa ni kutimiza lengo la michuano na kila mtu anajua kuwafunga Ivory Coast uwanjani si kazi ndogo hivyo kama vipi tuanzie kabisa nje ya uwanja. Jamani hamjawahi ona viwanja vikubwa kabisa huko...
Wadau kuna mtu kanipa taarifa Supersport Select-Channel 233 wanaonesha. Tusaidiane kuhakiki hizi taarifa basi
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kwako personally,hongera sana but remember I have considered u personally. Hata angekuwa kijana mwingine yeyote lazima angejisikia fahari
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Wadau natumia Blackberry 8520 na nimekuwa nikitumia app ya Jamii Forum kwa kipindi kirefu bila tatis=zo lolote ila ni kama toka wiki iliyopita inanigomea kabisa. Niki-log in kwa kupitia kwenye Computer haileti tatizo lolote ni kwenye simu tu. Nimejaribu kui-uninstall na kudownload nyingine...
Wadau natumia Blackberry 8520 na nimekuwa nikitumia app ya Jamii Forum kwa muda mrefu bila matatizo yeyote ila ni kama wiki sasa inagoma kabisa, nimejaribu kuitoa na kuidownload tena lakini mambo ni yaleyale. Lakini niki-log in kwa kupitia kwenye Computer kunakuwa hakuna tatizo lolote. Please...
Kwa situation hiyo huyo jamaa hawezi fanya lolote, miaka miwili watu wanagegeda tu huyo demu si kidogo. Halafu hata huyo demu hatakuwa na amani tena kwenye huo uhusiano unless ni mzoefu kwenye game hizo.
King'asti hilo suala ni huyo dada kushindwa kujitambua anahitaji nini....Kwani kama anampenda huyo mshkaji wake si amwambie anataka nini alichokuwa anapata kwa X wake? Au mpaka leo watu wanaogopana? Mtu kama huyo anaweza akalia kabisa na kuapa kwa majina yote kuwa hatorudiana na X wake lakini...
Du! Kwanza mpe pole sana huyo mshkaji. Ila ndio mambo ya watoto wa kike sometimes huwa ni kama hawajitambui mpaka zinapotokea ishu za hivyo ndio anakuwa kama katoka usingizini. Mtu kukudanganya for two years imezidi aisee,huyo hawezi shindwa kuendelea kudanganya huko mbeleni. Dawa ni kutupa kule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.